Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,542
- 34,317
Kuna kitu kinaendelea , naombeni samaree sasa nielewe🤣🤣Acha uchochezi!
Kuna kitu kinaendelea , naombeni samaree sasa nielewe🤣🤣Acha uchochezi!
Wewe bado hatujakutafutia skendo humu?😅😅
Ankal nipewe umbea huo sio wanaumiliki peke yao..!! 😹😹😹Ila ankal...❗🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙆🏿♂🏃🏿
😀😀😀 skendo tena 😩Wewe bado hatujakutafutia skendo humu?😅😅
Kamati ya roho mbaya siku hizi imepoa sana😅
Parody lako ni lipi kwanza make weee selfika panapofuka moshi ndo unajitokezaga as Lamomy is concerned.Kuna kitu kinaendelea , naombeni samaree sasa nielewe🤣🤣
Ile kamati ikikaa unafikiri inajali? Basi tu siku hizi imepoa😅😀😀😀 skendo tena 😩
nikikumbuka hekaheka za Huu Uzi …
Duuuh basi hatari 😀😀😀Ile kamati ikikaa unafikiri inajali? Basi tu siku hizi imepoa😅
Natumia browser wala sihitaji kulog in kila siku😅Parody lako ni lipi kwanza make weee panapofuka moshi ndo unajitokezaga as Lamomy is concerned.
Whyy???????
Bty Mi hata sielewi chochote huwa naingia nakuselfika zangu nakusifia tu
Ukiona mtu anakukalia kooni ujue una kitu na anateseka sana . Iwe kwa kukutungia skendo au vinginevyoIle kamati ikikaa unafikiri inajali? Basi tu siku hizi imepoa😅
Huyo MTU nani mbona mnazunguka sanaUkiona mtu anakukalia kooni ujue una kitu na anateseka sana . Iwe kwa kukutungia skendo au vinginevyo
Ausio!!! Asante kwa taarifaNatumia browser wala sihitaji kulog in kila siku😅
Browser ya bei chee tu mini UC
View attachment 3673552
Hizo kamati ulomwambia Chica .Huyo MTU nani mbona mnazunguka sana
Hapo hata nilog out naweza baadae kuingia bila kulog in na nikasoma mada zenu😅Ausio!!! Asante kwa taarifa
Chicca ana bahati nzuri sana kamati haijawahi kukaa kwa ajili yake😅Hizo kamati ulomwambia Chica .
Aliii seremaaa seremaaaaDakika sifuri Namba 4 inapita chapppppppp . Tena naked kweriiiikweriiii
Sauwaasauwaa.Hapo hata nilog out naweza baadae kuingia bila kulog in na nikasoma mada zenu😅
Mimi niogope na nilikuwa katikati yao mpaka yakayamwagwa ya kuyamwagwa UMENISAHAU 😹😹😹Mmmh toka lini umeanza uoga wa kuandika mafumbo? Hebu weka samareee vizuri, kina nani hao🤣🤣
Fungua code nipige fundo hii Jager hapa
Mungu amsimamie na isikae kwa ajili yake!!Chicca ana bahati nzuri sana kamati haijawahi kukaa kwa ajili yake😅