Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Parody lako ni lipi kwanza make weee panapofuka moshi ndo unajitokezaga as Lamomy is concerned.

Whyy???????

Bty Mi hata sielewi chochote huwa naingia nakuselfika zangu nakusifia tu
Natumia browser wala sihitaji kulog in kila siku😅

Browser ya bei chee tu mini UC
Screenshot_20260918-211454.png
 
Mmmh toka lini umeanza uoga wa kuandika mafumbo? Hebu weka samareee vizuri, kina nani hao🤣🤣

Fungua code nipige fundo hii Jager hapa
Mimi niogope na nilikuwa katikati yao mpaka yakayamwagwa ya kuyamwagwa UMENISAHAU 😹😹😹

Wote wananijua vizuri siwaogopi..

Sema nini muungano wa wachawi haujawahi kudumu..!!

Mtoa idea ya uchonganishi hajaamini macho yake alivyokwapuliwa bwana 😹😹

Mimi na Antonia tupo sana ugomvi wetu ulisukwa na haukuwa wa mboo za kugombania za mafungu..
 
Back
Top Bottom