Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,275
- 108,278
#JustACoincidence
#JustACoincidence





We ni KE au ME?Mkuu vibaya hivo!jina.la kike kabisa hilo labda unambie hiyo picha ndo inachanganya
Sent using Jamii Forums mobile app



we unaonekana muoga sana eti
Usitutishe bwana we, huu uzi wa stress free.
Birds of a feather...#JustACoincidenceView attachment 1291136
Ndio mama.
Except for flat earthers.Hapo sasa, ndio maana tunatakiwa kuheshimu mawazo ya kila mtu bila kujali..
Pendeza sana.Za jioni??View attachment 1287882
Unge jiselfii kwanza tujue mazingila uliopo nahisi kama sio maji ya dhahabu basi cha Arusha ndo kinafanya kazi sio kwa wepesi huo
Ex darling usinifanyie hivyo jamani.



huyo sio mzima,, ana file lake mirembe
@Jael kasema meta imehamia dodoma na majenho yake
Ka live location kangependeza zaidi kama unaona noma hapa katupie kule pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Usituchonganishe mkuu mimi ilikua kitambo sana tuEli79 hapa ndio unapokwama






View attachment 1291099
Mchana mwema wana jf, weekend imeanza mdomdo...