Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Wakuu hii picha inayo treand mtandaon ni ya kweli ama ni photo shop? View attachment 1290835
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka nijaribu kulewa nione nini nitafanya![]()
Ulipotelea wapi baba wa mtoto mzuri?
Mbali na mimi kuweza pata mwaliko...lakini ajabu mi nipo karibu nawe kuweza pata wa kwakoMbali na nini?
Dah! Techniques zako ni konkii 🙌Siku tukionana mpendwa,, mimi sijawahi kutuma kitu kikafika salama..
Sent using Jamii Forums mobile app


kama hajakujibu na majengo yake sijui,, ngoja niendelee kutiririka na comments
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishusha bila emoj asee sema ilikuwa 9 usiku 😂😂Hujashusha material ingine tena mama?



Nataka nijaribu kulewa nione nini nitafanya![]()
Nilishusha bila emoj asee sema ilikuwa 9 usiku 😂😂