Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,275
- 108,279
Mkwe kwani we huwezi soma hapo...nipo na anayekufanya nikuite mkweMbona huwataji? Kuna mahali niliona unaitwa sukari ya warembo. Nikasema hiiiiii![]()

Hahah...achana na hao wanaita mimi hivyo
Mkwe kwani we huwezi soma hapo...nipo na anayekufanya nikuite mkweMbona huwataji? Kuna mahali niliona unaitwa sukari ya warembo. Nikasema hiiiiii![]()

Usijali mkwe, injini hata kama imekufa hakuna tatizo kabisa. Cha msingi pension iwepo.Hahah...mkwe hujui kama injini inahitaji hewa ili kuwa na ufanisi
Mkwe acha propaganda.Mkwe kwani we huwezi soma hapo...nipo na anayekufanya nikuite mkwe
Hahah...achana na hao wanaita mimi hivyo
Weeeee....ikifa hata majina yanabadilika...unaweza itwa lokoleUsijali mkwe, injini hata kama imekufa hakuna tatizo kabisa. Cha msingi pension iwepo.
Zipi tena jamani...Mkwe acha propaganda.
Mie shaweka. Bado wewe.
Tuanze na wewe, kuna mambo flani hivi daaah!
Unaongea sana asee dah nacheka majibu yako hadi na choka.Mbona huwataji? Kuna mahali niliona unaitwa sukari ya warembo. Nikasema hiiiiii![]()
Usijali mkwe, hatutokuita.Weeeee....ikifa hata majina yanabadilika...unaweza itwa lokole



wanahesabiwa wasiojitegemea tu siyo??
Sisi wachaga wa kujitegemea hatuhesabiwi.
Si za kumsingizia binti yangu.Zipi tena jamani...
Mkwe mwanaume mashineUsijali mkwe, hatutokuita.
Heheh...yeye ndio mpiga picha zoteSi za kumsingizia binti yangu.
Ehee hafu gari linaendeshwaje nauliza tu mimi sijakuingilia badoUsijali mkwe, injini hata kama imekufa hakuna tatizo kabisa. Cha msingi pension iwepo.