Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

.
20191210_135148.jpeg
 
Naomba uweke takwimu ya 1985 wakati Mwalimu Nyerere anang'tuka.
Mkuu mwalimu nyerere anavyong'atuka madarakani asilimia 87% ya watanzania pamoja na Mimi binafsi hatukuwa tumezaliwa.

Just imagine 3.1 % ya watanzania tulio sasa ndio walio shuhudia Uhuru mwaka 1961. 96.9 ya walio shuhudia Uhuru kwa sasa ni marehemu.
 
Hahahaha, lkn si ndio imemsomesha na kuumpa hy status ? Ila sio mbaya acha babu nae ale matunda ya mshua wako
Mxhua alimpa Uhuru babu kuendelea na kazi yake ila wanajamii wakaanza figisu kuwa anawasimanga wao haiwezekani babu ageme ulanzi wakati yeye ana uwezo huko ni kuwasimanga wengine, mxhua akaona isiwe tabu akampiga xtop daddy ake,
 
Back
Top Bottom