cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
JF nimeijua 2015 nikiwa 4m 3 Ila sikuwa na simu wakati huo, nilikuwa naangalia kupitia simu ya kaka, na niliapa lazima nije kutumia JFDaah hizi dharau sasa,, mie nina sura ya kiutu uzima eti..
Kwa mara ya kwanza nilipewa simu mwaka 2014 mwanzoni kipindi cha likizo ya kumaliza form 4 tena ni baada ya matokeo kutoka,, ila JF nimeijua muda sema basi tu..





