Aidii 'inaaminisha'...Mbona hilo jina ni la kike eti??
Hata ya Mbeya iko kama hivyo bhana,, na ya kule Kapiri Mposhi..
Mkwe wako huyo mzee baba...



tena siyo miaka miwili tu bali nilikuwa nina miaka miwili miezi miwili na siku mbili
malizia na miaka 2![]()
Mzima kabisa binamu; sijui wewe na familia



aise kwangu mimi somo la kiswahili lilikuwa ni tatizo na nilishaachana nalo tangu nilivyomaliza o level,, nilikuwa silipendi somo la hesabu lakini a level nilikuwa tayari nikasome hesabu kuliko kiswahili.. 


Aidii 'inaaminisha'...
Kiswahili ulipata ngapi we mtoto na umemaliza juzi juzi tu hapa?
Hahah...hell yeah namaanisha Karma
Stesheni zote za Tazara zinafanana design, hazina modern engineering kama hilo jengo
Soma vizuri mabango katika hiyo picha, ni steshenibya basi kubwa kuliko zote kwa sasa TZ
Akuuuu!! Hii ndio yenyewe.Hahah ngoja nikutafutie avatar fulani amazing
Nakwamia hapo kwenye pension mkwe.Kwa hiyo ukatoa Atoto ukaweka jina nyingine ya mtoto...
Mkwe unakwama wapi?
Kwahiyo ukaenda kupanda tule tugari watu wanasongamana kama punje za mahindiWeeee si nilimiss kupanda mwendokasi mwenzio



