Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Daah hizi dharau sasa,, mie nina sura ya kiutu uzima eti..

Kwa mara ya kwanza nilipewa simu mwaka 2014 mwanzoni kipindi cha likizo ya kumaliza form 4 tena ni baada ya matokeo kutoka,, ila JF nimeijua muda sema basi tu..
Tuma picha yako tena nifanye tathmini, wazazi walikupa simu ukiwa na umri gani? Hivi kumbe soon nitatakiwa kumnunulia binti yangu simu then tupishane kwa utani humu... hahaha!!
 
Back
Top Bottom