Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,361
- 176,183
Ni jina la mwanafunzi wangu kipenzi. She is very bright and very humble. Nilipoona mnaniona mtoto kwasababu ya jina nikaamua kubadili na jina lake ndilo likanijia akilini.Lol halafu hilo jina umenikumbusha shule niliyosoma form 1 & 2 mwalimu wetu wa kiswahili alikuwa anaitwa Madam Yaeli




