Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Afu Ba tamu, em tengeneza picha ya mdada, afu awe amenyoa low cut, nataka iwe avatar yangu ya humu Rasmii.
[emoji120]
Morning mamah...


Nipe maelezo zaid unataka ya Cartoon or real person black or white girl etc

Demo Current avatar yako
file_000000009c1c71fdbaf44d7f6b295e67.png
 
Sio tu kuwa msimamizi, alisha jipa hadi umiliki wa eneo na baadhi ya vitu.

Akasema kulikuwa na maridhiano yeye na marehemu, imagine mabibi na mabwana 6 wana jiweka kama wasimamizi.

Nikiwa kwai ilikuwa ndio kila kitu,siku walipo nikuta uwanja wangu hawa kunisahau mpaka kesho.
Hao matapeli aiseee!!
Sasa hizo mali zao?
Mwenzao atafute kwaajili ya familia yake wao wajichukulie kiulani..!!

Ndugu kama hao wa kukaa nao mbali sana hawachelewi kukutoa uhai kwa tamaa ya vitu ulivyonavyo..

Mimi kaka yangu mzee alipokufa cha kwanza kajimilikisha semi za transit 4 😹😹
Msibani rambirambi kachukua zote.

Afu mpuuzi alipewa kipaumbele na mzee na ana maisha ila tamaa imemjaa..!!
Katika wote sikuwahi kumfikiria yeye km angezingua!! Kazingua big time.
 
Back
Top Bottom