Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

๐Ÿ˜ป๐Ÿ˜ป๐Ÿ˜ป๐Ÿ˜ป๐Ÿ˜ป woooww
Edo kama Edo awwwww uko muhanshamu ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

JF ina wakaka wazuri afu wa mwaka wa mbele..!!
Aiseee Edo umeoa?
Mbona km vitu vyangu kabisaa..!! ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Naoa mwaka huu๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿพ

..............
Nitamalizia
 
๐Ÿ”ฅ.jpeg
kwa niaba
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Alitaka kuwa msimamizi ili mtaabike..!!

Ila ndugu jau sana, mi mpk leo tumezinguana mirathi ya mzee na bro angu mkubwa..!!

Nikazira nikawaachia sasa hivi mahakama imewaambia waniite tuamue kwa pamoja nimegoma na namba nimebadilisha..!!

Mambo ya mali mnaweza kuuana hivi hivi wakati aliyezitafuta kaziacha..!!
Sio tu kuwa msimamizi, alisha jipa hadi umiliki wa eneo na baadhi ya vitu.

Akasema kulikuwa na maridhiano yeye na marehemu, imagine mabibi na mabwana 6 wana jiweka kama wasimamizi.

Nikiwa kwai ilikuwa ndio kila kitu,siku walipo nikuta uwanja wangu hawa kunisahau mpaka kesho.
 
Back
Top Bottom