Limeisha hiloooo , Unataka furrruuuuuuu nilosimama furrruuuuuuu nilokaa nusu mwili juu nusu mwili chinii robo mwili juuuuu chiniii mkono tu ugoko tu komwe tu angah??????Tuonyeshe ulivyozeeka
Mazoezi kipengele ila hata ya kutembea umbali mrefu yanasaidia.Weee kumbe!! Ngoja nianze mazoezi sijui ntaweza!!!
Santo sana . Afu mwili tu umekua mzito si kwamba nimenenepa saana hapana! Sijui ndo kuzeeka kwenyewe huku lol!Mazoezi kipengele ila hata ya kutembea umbali mrefu yanasaidia.
🤣Nipo chooni huku naperuzi jf! Harakaharaka nikawaza T tatu??? Nikakumbuka kitu nimecheka sana.ephen_ naombapo uibles asubuhi yangu iishe vizure pulllliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiizzzzzzzzz!!! Nimemiss kuona 3T
Umeanza lini kuogopa kutupia weyeee?? Fanya manuva fastaaa usinangushe buana,, sema kuna workmate anakodoleajeee hapa napoperuz em ngoja kwanza🤣Nipo chooni huku naperuzi jf! Harakaharaka nikawaza T tatu??? Nikakumbuka kitu nimecheka sana.
Ubaya yule dada nimesahau jina lake la IG halafu picha zenyewe nilifitaga muda.
Nikitupia nitakuita! Usikute na yeye yupo jfUmeanza lini kuogopa kutupia weyeee?? Fanya manuva fastaaa usinajgushe buana,, sema kuna workmate anakodoleajeee hapa napoperuz em ngoja kwanza
Bwana Yesu Asifiwe mtumishi katika Bwana🤣🤣🤣🤣🙌
Kikeni😃🤔😹😹😹 Kijana wa 2007 yuko msupuu..!!
Ana rangi tamu ile inayopendwa kikeni..
Ndio yupo kunasiku alikua jf namie nilikua nazoom kuibiaibia kwambali sikubahatika kuview id yake hahahahaNikitupia nitakuita! Usikute na yeye yupo jf
Basi anakuchora tu huku selfikaNdio yupo kunasiku alikua jf namie nilikua namzoom kwambali sikubahatika kuview id yake hahah
Hahahaha na alikua anakodolea macho juu yakimeo sio kidogo nikashtuka!!Basi anakuchora tu huku selfika
Tulia usiwe na mchecheto😂Hahahaha na alikua anakodolea macho juu yakimeo sio kidogo nikashtuka!!
Haya nishatoka pale tupia sasa nakaribia kutoka out of wifi yabure!
Naachaje mchecheto na sijakuona long time babe girl do the needful!Tulia usiwe na mchecheto😂
Right nowwwww!Nitumie msg pm