Selfika na JF: Snap it. Show it

Kila la kheri guys,,,, hakuna jukwaa lingine la kukutania ? Jf ndo hivo imefungiwa !!!!!

Siku 90 sio haba,,,, huenda zikaisha na zikaongezwa,,,, ni kama chadema na zile siku 14 walizopewa !

What a pleasure
 
Kijana unalipa mshahara wa PHD
 
Na bado hujasema 😹😹
Nakwambiaga nikija uwe unakua nyuma yangu unanisaidia nisipigwee mjini.

Nimepigwa mitaa ya karume mitaa ya TBL kwa mbele; yule fala sijui anatumia vidawa.

Nimejikuta natoa buku mbili za glass ya juice pasipo hata kutarajia, juice yenyewe ni mi maji.

Jamaa kanishobokea kaniita utafikiri ananijua; kaka mkubwa vipi, daah kitambo mi nikabaki navuta taswira mbona simjui huyu. Kuja kushtuka nishakunywa juice glass mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…