Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,777
Hiyo voice iko gorgeous tu sana.Khaaaa!!
Hiyo voice iko gorgeous tu sana.Khaaaa!!
Hahahaha wewe nakupa muda ngoja unizoee utajua ninavyoongea yaani hadi utakuwa unaona kero kuongea na mimi,, wanaoweza kunivumilia ongea yangu ni wachache.. maana ukiachilia mbali kuongea haraka pia nina tone moja mbovu sana
Kuna siku tulikuwa tunachat kwa group nikatuma voice note aise badala ya kuendelea kujadili mada iliyokuwa mezani watu wakaanza kujadili voice note yangu eti E huyo ni wewe kweli mbona sauti mbaya hivyo,, kuanzia siku hiyo nikajiapiza kutotuma voice note kwa mtu yeyote except kwa wale walionizoea.. yaani niko radhi nishushe essay kuliko kurecord voice note




Dah...yaani hili Jina dah
Hapa ni ulikua somewhere karibu unaitafuta kitonga hivi, nimepatia eeh!GIF video kutoka katika safari yangu ya dar-iringa hapo jana.
taja jina la eneo linaloonekana kwenye gif?.View attachment 1284548
Asante....leta na hiyo throwback
...and there you're...heheh!!!
I know exactly what you saying dearie![]()
Hiyo voice iko gorgeous tu sana.



nikutumie nini voice note?? Woii mi ukitaka kulisikia lisauti langu we nipigie tu au wewe siku ukiwa na muda niambie mimi nikupigie!!
Nitumie niprove



vipi na wewe umewaza kama mimi nini?? Ila daah Jael yuko serious huyo yaani hacheki na kima.. bora hata Atoto (ambaye naye tulimlalamikia tukasema bora hata espy) 


Dah...yaani hili Jina dah
Hahaaa.Bad news man, it's Bad news. Niliwahi kuletewa na mtu nikapuliza, njiani kuna mama wa makamu alinifuata akaniambia mwanangu unanukia vizuri naomba nikukumbatie kidogo tu.It was weird.....
Nilikuwa nikiingia sehemu tu, lazima liwe gumzo na samahani kaka umepaka perfume gani nataka nimtafutie mume wangu. Sema ni kichupa kidogo mno. Ilivyoisha nikaachana nayo nikaanza tumia CK One tu.
Itafute mzee, utanipa feedback hapa.View attachment 1285866
Umedamshi bi mama.Sunday njema kwenu.View attachment 1285364
Utatakiwa kuandaa na gunia mbili za mkaa, au utakodi bunduki yenye risasi 3.Ukihitaji kuongeza elimu niambie niko tayari.