Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,380
- 88,735
Hahahahaa.
mama la mama
Kuna mtu fodo atapitwa hapa halafu atasema watu hawatumi picha
mama la mama
Kuna mtu fodo atapitwa hapa halafu atasema watu hawatumi picha
Asante kushukuru baba JEnjoy your drinking ila usiweke vikali sana vikakusumbua asubuhi...
Cheers![]()



kama ni ubuyu itabidi uskip to the end tu kwa kweli
Kwa jinsi unavyopenda ubuyu huwezi kuacha ukupite![]()
Noma sana: Hivi Paul Smith ushaitumia mzee ???Michael Kors surrounding Hugo BossView attachment 1285791
Wote waliolike hii comment yako ni wachawi!Ulikua unanipondaga kumbe? Kuku wa maziwa weee



E enh?! 🤔Hahahaha wewe nakupa muda ngoja unizoee utajua ninavyoongea yaani hadi utakuwa unaona kero kuongea na mimi,, wanaoweza kunivumilia ongea yangu ni wachache.. maana ukiachilia mbali kuongea haraka pia nina tone moja mbovu sana
Kuna siku tulikuwa tunachat kwa group nikatuma voice note aise badala ya kuendelea kujadili mada iliyokuwa mezani watu wakaanza kujadili voice note yangu eti E huyo ni wewe kweli mbona sauti mbaya hivyo,, kuanzia siku hiyo nikajiapiza kutotuma voice note kwa mtu yeyote except kwa wale walionizoea.. yaani niko radhi nishushe essay kuliko kurecord voice note
nawasalimuMchana mwemaaaView attachment 1285445
Hapana mkuu, umeionaje?Noma sana: Hivi Paul Smith ushaitumia mzee ???
😅😅😅😅 eeeh banawe si nilikuambia kuwa namba ngeni huwa nazidekea
![]()
Bad news man, it's Bad news. Niliwahi kuletewa na mtu nikapuliza, njiani kuna mama wa makamu alinifuata akaniambia mwanangu unanukia vizuri naomba nikukumbatie kidogo tu.Hapana mkuu, umeionaje?



It was weird.....😅😅😅😅 eeeh banawe si nilikuambia kuwa namba ngeni huwa nazidekea
![]()
Nishakutumia bana....check WhatsAppUsijali Nakuletea
Mbona Haijakuja
Bad news man, it's Bad news. Niliwahi kuletewa na mtu nikapuliza, njiani kuna mama wa makamu alinifuata akaniambia mwanangu unanukia vizuri naomba nikukumbatie kidogo tu.It was weird.....
Nilikuwa nikiingia sehemu tu, lazima liwe gumzo na samahani kaka umepaka perfume gani nataka nimtafutie mume wangu. Sema ni kichupa kidogo mno. Ilivyoisha nikaachana nayo nikaanza tumia CK One tu.
Itafute mzee, utanipa feedback hapa.View attachment 1285866



