Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,618
- 3,743
Karibu bosiEeehhh
Karibu bosiEeehhh
Fanya kunitumia hebu!Karibu bosi
Weekend leo imenipeleka man city 😅 maana the blues walishazinguaMambo babe
Weekend inakupelekaje??
Najisnap hapa ntakusendia wasap



nimeiona dada kanafsi kamesuuzika,, 


jamani eti kufukua makaburi..Na uzuri ndege za magufuli zipo utapata mkuuFanya kunitumia hebu!
Nipo namtumbo mkuu
silog off mpaka nione
Nashukuru mnooo jamaniNa uzuri ndege za magufuli zipo utapata mkuu
Mhh! Hunitakii mema...hutaki niwe navaa madela?Duh, hii hii size inafaa![]()
Asante....leta na hiyo throwbackNipo kwenye blue lights mda huu picha hazitoki poa au nilete throw back? View attachment 1284854
Mhh! Hunitakii mema...hutaki niwe navaa madela?

😊 ✌Mhh, utaharibu, Hapo hapo usiongeze wala kupunguza![]()
bila shaka ndg yangu.Hili eneo linanafanana na Bienville national forest, when on IS20 crossing Mississippi towards Alabama...
Kuna mamisitu kama hayo...

bata batani. enjoy your life bro.Nipo kwenye blue lights mda huu picha hazitoki poa au nilete throw back? View attachment 1284854
🙇🙇🙇 haujanidanganya kweli?
Mhh! Eti unaongea haraka haraka...mbona ile juzi ulikuwa unaongea kwa pozi?mie kucheza huwa nacheza hata nikiwa sober maana napenda sana kucheza ila tatizo mdomo mdomo mdomo mdomo na ninavyoongea haraka sasa mwee
![]()
Pole sana!Weekend leo imenipeleka man citymaana the blues walishazingua
bila shakaMaeneo Iyovi au kabla haujafika Iyovi kama unatoka mikumi huwa wanauza ndizi