min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,262
- 127,165
Selfika ya maana sana ila sijaona alcohol %Kwanini boss
Selfika ya maana sana ila sijaona alcohol %Kwanini boss
Aaaah😁 sawa bossSisi ni wadau waandamizi yaani senior 😊 kwenye viunga vya pombeee
Its 13 i guessSelfika ya maana sana ila sijaona alcohol %
Chente sikupenda ilivyoisha japo ilikua nzuri!😊 Your love is my fortune, hii nili angalia angalia kina chente.. crystal sijawai angalia nikifika home nakua nimewaka konyagiiii kimtindo + uchovuuu ni kula na kulala yaan usingizii mzitooo balaa sijaangalia kabisa japo wengi wamasema ni nzuriii
Olga ndie yule alie kuwa anapendwa na Gabrielle ( mpenzi wa baba Gabrielle)Chente sikupenda ilivyoisha japo ilikua nzuri!
Hivi kuna watu wanajua kupenda kama Olga?
Sasa hii Crystal ni nzuri sanaaa kuna huyo dokta Jawad Fayad alikua na mchumba ake wa kitajiri Alya lakini akajikuta anampenda mfanyakazi wa Alya anaitwa Fay
Fanya uiangalie dokta ni nzuri mnoo
Japo mimi nipo upande wa Alya ambae ni adui kuu.
Dokta utanichosha! Hukufatilia bhana😂Olga ndie yule alie kuwa anapendwa na Gabrielle ( mpenzi wa baba Gabrielle)
Yule mtoto wa Fernando Perez 😁Dokta utanichosha! Hukufatilia bhana😂
Hadi mtoto mdogo aliyefatilia hawezi kumsahau Olga
Hiyo sio My heart is yours?Yule mtoto wa Fernando Perez 😁
Sawa gonja nikupumzishe
HAhha😂😂,. We Acha Tu jiraniUpo porini km mimi 😹😹
Upo bado?Fanya kamoja basi ,chap kama umeme
Madesa yanachanganya unajua Nisha Anza kuzeeka mpaka mviiii zinakuja kwa kasiiHiyo sio My heart is yours?
NdioUpo bado?
Kaka hapo kwel shunghuli ni pevu ,hata koti la kazini naona haujavua😅View attachment 3449072
Aya picha yangu hii japo ni ya TBT through back Thursday.
ephen_
min -me
Monetary doctor
MENEMENE TEKERI NA PERESI
Umewai kaka nimeitoa kaka 😊 😃Kaka hapo kwel shunghuli ni pevu ,hata koti la kazini naona haujavua😅
Nimeona chupa tu!Umewai kaka nimeitoa kaka 😊 😃
Kaa mkao dk sufuri 😎Ndio
Ntaweka tena nakutag ila haito kaa SANAAAAAA 🤓Nimeona chupa tu!
Hahahaha hata lab coat, umegoma kutoa ni mwendo wa bia tu🍺🍺Umewai kaka nimeitoa kaka
Noma sanaaaaaa brother 😊 😊 hapa nawai sehemu napiga konyagiiii ndogo yangu moja toshaaaaaa nawai home kujipikia kwa Sasa nipo nyumbani peke angu kaka.Hahahaha hata lab coat, umegoma kutoa ni mwendo wa bia tu🍺🍺