Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Vipe leo mkuu
Screenshot_20250822-184913.png


Binti wa zamani
 
😹😹😹 Elimu ya mamodo au sio?
Haya tupia hiyo midhambi ya fashoonii tuone 😜
Usiwaze atii, nilipo sema elimu ya modo nilimanisha watu humu wanadai ni ushoga, kazi ya kishoga kisa mashoga wengi ni modo. Nika hoji polis wa Zanzibar na yule mwalimu alie kuwa analiwa na mwanafunzi wake, mna maanisha nasi tuhitimishe kua hizo kazi ni za mashoga?

Kama hamtaki tuwe na modo ea kiume mnamanisha nguo za wanaume zitangazwe na wanawake sio?

Kuhusu kuachia kazi Kuna utaratibu tatoa hivo tuwe na subira.

Asante na karibuu dear lamomy
 
Back
Top Bottom