Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

kwenye status, umewapiga pin watu 25 wasione status yako . sijui ndio nitakuwa na mie mmoja wapo.. goja nicheki Whatsapp 😎😎
Anhaaa now nimeelewa! Yaani mtu yeyote ninayefanya nae kazi lazima aingie kwenye hilo kapu! Tusijuane kwenye maisha binafsi .

😂😂 Hebu nikumbushe ID yako ingine 🫴
 
msije niletea baraaa.. nina msetia mitambo 🤣🤣🤣 subirini hapo hapo wapendwaaView attachment 3448463
Wakija hapo wote chini, fikia fikia mbinguni kwa sauti ya braza K. unamjua braza K?

Haya usinicheke lakini na ushamba wangu, Kuna uzi wa selfika humu tulikuwa tunaweka picha ukiweka ufiche kama hivyo ulivyoweka kuna watu wakadai wanaweza kutoa kubakiza sura tu. Je ni kweli?

Ndio maana wengine tunaficha na sticker za wasapu. (Mi ni ngumbaru kwenye mambo ya mtandao)
 
Wakija hapo wote chini, fikia fikia mbinguni kwa sauti ya braza K. unamjua braza K?

Haya usinicheke lakini na ushamba wangu, Kuna uzi wa selfika humu tulikuwa tunaweka picha ukiweka ufiche kama hivyo ulivyoweka kuna watu wakadai wanaweza kutoa kubakiza sura tu. Je ni kweli?

Ndio maana wengine tunaficha na sticker za wasapu. (Mi ni ngumbaru kwenye mambo ya mtandao)
Hakuna wa kutoa
Ni mbwembwe tu zile
 
Back
Top Bottom