Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Enzi za mafundisho church hivi vitu tulikuwa tunaonja sana 😹😹

Halafu father alikuwa muholanzi siku aliyotushtukia tulisemwa kwenye misa ya kwanza Hadi ya tatu..!! 😹😹

Sasa kulikuwa na sis angu na shost wake wanaendaga wanakoishi ma father na mafrateli na sisi wadogo zao tukawa tunaunga aiseee nyie hao mafaza wanakula bata sio pouwa..!! 😹😹

Shosti ake sis mpk akazaa na mmoja wao, mengine ni hatari 🤐
Kumbe utundu ulianza zamani jirani😂😂,.
 
Kesho kuna pilau kwa jirani mie niponipo tu mpaka saii sijui haka kakichwa kangu ntakafanyeje sina kiuno cha kukaa kusuka na seleka zitaanza mapema sana!
Lovelovie ephen_ min -me naombeni mwongozo pulllliiiiiiiizzzz!!!

Mtanibip kunijuza nifanyeje nimechoka narrarra mieeh!!


Kesho nayo siku wapendwa 💤💤💤💤😴😴😴😴😴😴
Unafatilia crystal?
 
IMG_0345.jpeg
Never go to a slumber party empty handed
 
Back
Top Bottom