Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimeingia insta nimekuta anamchamba Gigy 😹😹😹
Wanaume wanasema arudishe pumb* zao 🤣
Hua nasikitika sana wanawake kujifanya hawapendi ushoga jalafu mnamsifu anko t sijui hua mnanini aisee inasikitisha sana


Fullstop, kwishaaaa
 
Hua nasikitika sana wanawake kujifanya hawapendi ushoga jalafu mnamsifu anko t sijui hua mnanini aisee inasikitisha sana


Fullstop, kwishaaaa
Wapi nimesifia ushoga?
Anko t ni shoga?
Wewe umejuaje km shoga?
Mliwahi kufanya ushoga pamoja ndipo ukamtambua?
 
Usiwaze atii, nilipo sema elimu ya modo nilimanisha watu humu wanadai ni ushoga, kazi ya kishoga kisa mashoga wengi ni modo. Nika hoji polis wa Zanzibar na yule mwalimu alie kuwa analiwa na mwanafunzi wake, mna maanisha nasi tuhitimishe kua hizo kazi ni za mashoga?

Kama hamtaki tuwe na modo ea kiume mnamanisha nguo za wanaume zitangazwe na wanawake sio?

Kuhusu kuachia kazi Kuna utaratibu tatoa hivo tuwe na subira.

Asante na karibuu dear lamomy
Weka picha maneno mengi ya nini?
Halafu kaka modo acha kutumia “atiii” “tatoa” hii kwa mwanaume haina afya..!!
 
Wapi nimesifia ushoga?
Anko t ni shoga?
Wewe umejuaje km shoga?
Mliwahi kufanya ushoga pamoja ndipo ukamtambua?
Ule muonekano wake, mwanaume kuvaa Dera ume ridhia. Ume ridhia mwanaume kukatika kupaka lip stick cjui lip bam? Kuna kijana juzi hapa kujitambulisha ye ni modo tukampopoa hizo kazi za mashoga, we Leo unamsema anko t Tena bila hofu ili hali wanaume wote tuna mashaka NAE, nikisikia kesho unausema ushoga vibaya takukunbusha mrembo


Fullstop,kwishaaaaa
 
Ule muonekano wake, mwanaume kuvaa Dera ume ridhia. Ume ridhia mwanaume kukatika kupaka lip stick cjui lip bam? Kuna kijana juzi hapa kujitambulisha ye ni modo tukampopoa hizo kazi za mashoga, we Leo unamsema anko t Tena bila hofu ili hali wanaume wote tuna mashaka NAE, nikisikia kesho unausema ushoga vibaya takukunbusha mrembo


Fullstop,kwishaaaaa
Anko t namsema kivipi?
Unajua inawezekana una hoja Ila kwenye uwasilishaji ndipo unaponichanganya..!!

Mwanzo umesema namsifia ushoga wake.
Sasa hivi unasema anakatika na wanaume wote mna mashaka naye..!!

Swali langu; Wapi nimesifia ushoga wa anko t?
 
naked 😎
Mrembo wa YESU 💞 (1).jpg
Mrembo wa YESU 💞.jpg
 
Mbombo ngafu 😥😹😹
 

Attachments

  • IMG_5769.jpeg
    IMG_5769.jpeg
    194.2 KB · Views: 9
Anko t namsema kivipi?
Unajua inawezekana una hoja Ila kwenye uwasilishaji ndipo unaponichanganya..!!

Mwanzo umesema namsifia ushoga wake.
Sasa hivi unasema anakatika na wanaume wote mna mashaka naye..!!

Swali langu; Wapi nimesifia ushoga wa anko t?
Hahaaaa usha sahau mara hii tu umenambia nani kanambia kuwa anko t ni shoga, na uhakika Gani saivi Tena umeruka ok tuyaache



Fullstop, kwishaaaa
 
Back
Top Bottom