Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwamba au kidampa aliyeamua kuvuliwa ubingwa na kukubali kutumika kwa mambo ya ujinga na mtu mwenye pori km la Amazon
Relax... shangai yupi huyo, unajua sielewi?
sina mazoea na watu humu...

Halafu tumia ID moja..
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Nkamu ngoja nipumzike wenzio tuna mgomo, sijui kesho tunaamka na lipi?? Na nimetoka kushusha mzigo juzi hata sielewi
Chalamila anasema atawatafutia walinzi walinde
Nyie mkae kusubiri suluhisho๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Sema picha za shangazi za iphone zikija aisee tutajuta
Shangazi hajaree wala nini๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Huna jipya, umebakiza two words, shangazi na uchoko...
Mi najulikana hapa, wote wanafahamu napinga LGBT...

Huyo shangazi si umtaje?

Aisee usinipotezee muda, we subiri adhabu yako...

Mimi sitaku kupigizana kelele, mi naachia missiles tu, dhumuni lako uzi ufungwe...

Mi hata uzi ukifungwa sikuachi... hadi ukubali na uniombe msamaha..
Sasa siuachie hzo missile dahh ujue nipo guest aisee
 
Sasa siuachie hzo missile dahh ujue nipo guest aisee
Mkuu we unaona hio missiles moja tu, jamaa amepata pressure anachat haraka kama robot...

Nikiweka nyingine atakufa...

Halafu maisha yake ni jf, sijui anakula saa ngapi, analala saa ngapi..

Yeye ndio anafungua jf na anafunga...

Ngoja nitaku tag..
 
Msichafue na kuchafuana sasa, yeyote atakayekwenda kinyume na Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala atakuwa amejiondoa kabisa kwenye hii thread.

Tuangalie mpira sasa huku tukichat chatika kwa raha.

Nitakuwepo.png
 
Back
Top Bottom