and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 4,515
- 14,977
Hizo ni za kunywea pombe....Pesa mbuzi hizo kweli ww wa kuja 🤣🤣🤣
Kwahiyo umekubali kuvuliwa ubingwa kwa pesa mbuzi?
Hizo USD nilimtumia demu wangu...
We masikini usinipotezee time...
Hizo ni za kunywea pombe....Pesa mbuzi hizo kweli ww wa kuja 🤣🤣🤣
Kwahiyo umekubali kuvuliwa ubingwa kwa pesa mbuzi?
Demu? Wewe wenzako walikuambia raha uchoko ni kujikubali watu wakujue, hii kujificha ficha ni ujinga na uogaHizo ni za kunywea pombe....
Hizo USD nilimtumia demu wangu...
We masikini usinipotezee time...
Hio laptop ni 6M Tshs...Nani kakataa pesa huna? Mbona unarudia rudia sana
Ila tabu unayopata unaijua, wanakukwangua masega. Yule jamaa humu alikuharibia kabisa aisee
Nipo mpendwa labla tunapishana majukwaani😍Mpendwa upo?
Nimekumiss ,kitambo sana hatujaonana humu jukwaani
Kwa ulivyo mweupe umelegea unakosaje kuhongwa pesa zote hizo.!!? Toto deliciousHizo ni za kunywea pombe....
Hizo USD nilimtumia demu wangu...
We masikini usinipotezee time...
Mm kwenye pesa nimekuambia sikatai unazo kweli, mm nachukua maneno ya wale wenzio kama.yalivyo. Ila raha ya hizo pesa ipo wapi ikiwa wanakukwangua masega?Hio laptop ni 6M Tshs...
hahahaaah...
Una kingine...
UchoyoNgumu kumeza
Hakuna mtu anajali unayosema, i walk the walk, i talk the talk, nimesema nina files zako nimeweka, wewe unachosema hakionekani, umebaki kuongea ujinga...Walikua wanamsifia kalegea sana alafu mweupe
Mwenyewe na ndiomana hapatani na cocaHuyo huyo, huyu dogo alivamia bila kujua watu walivyo, wakaja kumchoma kuwa ni mwenzao
🤣🤣🤣🤣🤣! Nimecheka kama fala hapa ila jf tamu sana acha niendelee kunywa juisi hapaRusha mawe ukishindwa kimbia 😄
KabisaNipo mpendwa labla tunapishana majukwaani😍
Hivi hamkuwa naye humu?Hizo mboga hazichoshi Nkamu
Ila hujanionea shangazi??
Huu uzi una kila aina ya balaa 😁😁Kabisa
Tunapishana
Leo tumekutana,acha tuendelee kuvunjwa mbavu na huu uzi😂
Mwamba wakati wenzio walishakuchoma, jikubali.Leo mmekutana na mwamba...
Mtaongea kilugha...
Dozi zinaendelea...
1 x 3
Alikimbia, naona anatuma wapambe.Hivi hamkuwa naye humu?
Tumemiss maphoto makareee ya Tecno 😂😂😂😂
Ile iphone 14 Pro Max hivi mlishampa shangazi?
Ahadi ni deni.