Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Joannah njoo tuendelee kupingana na yule Daktari asietaka tule!
20240618_213310.jpg
 
Kuna kipindi nilijaribu kubadili vyakula lakini nikagundua sishibi na ninatumia hela nyingi
Asubuhi 1/2 ya maziwa nikila yenyewe sishibi hapo lazima nishindilie na mihogo

Mchana nile samaki na mboga hapana lazima nishushie na ugali au ndizi ndo nitajisikia good kidogo usiku najitahidi
Unajua ukiweza vumilia njaa na kutaka kula wanga ndani ya siku nne za mwanzo, umetoboa maisha 👍
 
Kuna kipindi nilijaribu kubadili vyakula lakini nikagundua sishibi na ninatumia hela nyingi
Asubuhi 1/2 ya maziwa nikila yenyewe sishibi hapo lazima nishindilie na mihogo

Mchana nile samaki na mboga hapana lazima nishushie na ugali au ndizi ndo nitajisikia good kidogo usiku najitahidi
Fanya simple diet, mchana kutwa shindilia Ila usile usiku.....

Usijikondeshe sana....mwanamke nyama nyama bwana.
 
Back
Top Bottom