Babu nimerudi nakuja kijijini huko ngoja nitafute kikoNimefanyaje Mjukuu 🤗?
Hivi ile safari umesharudi? Nasubiri uje unisalimie Kijijini 😜
Nitumie hata buku nikanywe hata fanda moja hapo kwa mangi 😋
Ku
We nae unaachajwe kizembe Zambezi kwani kungwi hajakupa mbinu😂😂😂😂😂 Atufundishe kwakweli, nimelia sana
Baadae baadae dearNitumie hata buku nikanywe hata fanda moja hapo kwa mangi![]()




Lazima tuwaulize ili tujue maaana wadada wasikuhizi wagumu saana kufika mlimani.
Ku



mzee wa hall V, sasa hata ukimuuliza km hajafika ni hajafika, tena atakushusha vyeo vyotee. Bora ukaushee tyuu.Hahaha, Bora tuamue kushinda mechi zetu tuu. Unapiga unachojoa baaasi...mzee wa hall V, sasa hata ukimuuliza km hajafika ni hajafika, tena atakushusha vyeo vyotee. Bora ukaushee tyuu.
Hongera kurudi salama Mjukuu, hata hivyo tushukuru zile dawa zetu za asili kufanya kazi ,maana bila hivyo ulikuwa unahamia huko huko Dubai, yaani unakaa Dubai miaka 10 yote bila kuja kutusalimia Wazee wako 😜Babu nimerudi nakuja kijijini huko ngoja nitafute kiko
We Mjukuu acha kunigombanisha na Bibi yako, hivi na hili baridi Bibi yenu akikasirika na kuhama Kitanda si litaniua Babu yenu 😜Babu nasemaje kina bibi kazi wanayo e’m usizuge hapa 😂😂😂
Hahaha.......poleni Mkuu, bora wengine tumezeeka tu 🙌 😜Hahaha, Bora tuamue kushinda mechi zetu tuu. Unapiga unachojoa baaasi...
Hawa wadada wanaodaiwa na kaushadamu mara vicoba mara mchezo hahaha
Hahaha, Bora tuamue kushinda mechi zetu tuu. Unapiga unachojoa baaasi...
Hawa wadada wanaodaiwa na kaushadamu mara vicoba mara mchezo hahaha




mbonaa hatariii sanaa!! Bora umalize zako tendo upite kulee.😂😂