Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni kosa la kiufundi kabisaa, na inabidi arudishwe jandoni kusukwa upyaa.
1718781888374.jpg
 
Lazima tuwaulize ili tujue maaana wadada wasikuhizi wagumu saana kufika mlimani.

Ku
mzee wa hall V, sasa hata ukimuuliza km hajafika ni hajafika, tena atakushusha vyeo vyotee. Bora ukaushee tyuu.
 
mzee wa hall V, sasa hata ukimuuliza km hajafika ni hajafika, tena atakushusha vyeo vyotee. Bora ukaushee tyuu.
Hahaha, Bora tuamue kushinda mechi zetu tuu. Unapiga unachojoa baaasi...

Hawa wadada wanaodaiwa na kaushadamu mara vicoba mara mchezo hahaha
 
Babu nimerudi nakuja kijijini huko ngoja nitafute kiko
Hongera kurudi salama Mjukuu, hata hivyo tushukuru zile dawa zetu za asili kufanya kazi ,maana bila hivyo ulikuwa unahamia huko huko Dubai, yaani unakaa Dubai miaka 10 yote bila kuja kutusalimia Wazee wako 😜
 
Babu nasemaje kina bibi kazi wanayo e’m usizuge hapa 😂😂😂
We Mjukuu acha kunigombanisha na Bibi yako, hivi na hili baridi Bibi yenu akikasirika na kuhama Kitanda si litaniua Babu yenu 😜

Kuweni na huruma na Wazee 🤗
 
Hahaha, Bora tuamue kushinda mechi zetu tuu. Unapiga unachojoa baaasi...

Hawa wadada wanaodaiwa na kaushadamu mara vicoba mara mchezo hahaha
Hahaha.......poleni Mkuu, bora wengine tumezeeka tu 🙌 😜
 
Hahaha, Bora tuamue kushinda mechi zetu tuu. Unapiga unachojoa baaasi...

Hawa wadada wanaodaiwa na kaushadamu mara vicoba mara mchezo hahaha
mbonaa hatariii sanaa!! Bora umalize zako tendo upite kulee.
 
Back
Top Bottom