Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Uboo!!

Nilishawahi kupika home, nyumba nzima walipovukwwa,
Afu wao tyuu huwa wanawaza vibayaa, mie bagia za mviringo sizitakagi.

Napenda hizi za mchongo, sasa wao ndo wanafananisha na uboo.
Bagia Kama uboho??

Anyway Engineer, siku ukipika niambie niweke order mapema.
 
😂😂😂 Kwani hata namchokozaga basi!! Mwenyewe vikimpanda tyuu ananiibukia.!! Kuna comments akiziona lazima aje awashe moto 🤣🤣🤣

Ss hivi nimechoka sitaki hata kuiona id yake, mwanaume gani hana kifua. Mambo ya ndani anatoa mliyojadili wawili peke yenu.!! Km sio ugombanishi ni nini?? Na mimi nikianza kutoa yake aliyoniambia si itakuwa balaa humu!!

Ss hivi anatokea 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Umeandika uongo, Ila yameisha no more mjadala
 
Sijui shemejio na gang lake, wameanza vizuri katikati mshirika wake si kaanza kutoa mipango waliyopanga 🤣🤣🤣🤣
Yani nimecheka, ikabidi wazuge kujifanya hawajuani etii.!! Mapenzi ya JF 🙌🙌🙌🙌
Uongo uongo
 
Back
Top Bottom