Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika kitambo sn
Lamomy , njoo basi maana Hali ya hewa inaruhusu kutumia coffee ☕ ☕
Woyooooooooo 🤸‍♀️
Mwenye selfika yako sasa ushatupia, mtoto mzureee mpk unakera 😍😍😍😍
Kitu cha English figure, nguo hazikatai hafu mkali wa outfit sasa.!!! Nyie Mungu anaumba 😘😘😘💋💋💋💋🥰
 
Woyooooooooo 🤸‍♀️
Mwenye selfika yako sasa ushatupia, mtoto mzureee mpk unakera 😍😍😍😍
Kitu cha English figure, nguo hazikatai hafu mkali wa outfit sasa.!!! Nyie Mungu anaumba 😘😘😘💋💋💋💋🥰
🤣🤣Kwa kupamba uko vzr
Sawa chawa uko vzr
 
Tangu nimzike mama yangu wiki 3 zilizopita siko vzr rafiki
Napambana na trauma
Pole sana , wala usijali mama yako amebadilisha tu aina ya maisha , unatakiwa umwachilie mama yako mapema mno kwa faida ya mama yako na yako pia , jambo kimwili tu ni jambo gumu ila unapaswa kuvuka hiyo hatua ya kimwili tu , rafiki yangu mzuri.
 
Pole sana , wala usijali mama yako amebadilisha tu aina ya maisha , unatakiwa umwachilie mama yako mapema mno kwa faida ya mama yako na yako pia , jambo kimwili tu ni jambo gumu ila unapaswa kuvuka hiyo hatua ya kimwili tu , rafiki yangu mzuri.
🙏🙏
 
isije ikawa unatuma picha zamamako bure ukanifanya nipate zambi🤣🤣🤣🤣🤣
Nikitembea na mama wanajua ni mtu na mdogo wake sababu ya mwili wangu
Nilivyokua sekondari na advance watu walikua wananibully na umbo langu ila tokea nimejikubali mambo yameninyookea sijali maneno ya watu kama nyie!
 
Back
Top Bottom