Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We jamaa muongo khaaa!! 😂😂😂
Huyo pesa anazo mbwa haruki na Valentine’s Day alinipa bonge la zawadi. Sema ni vile shetani hapendi kuona wawili wakipendana
Hana chochote, mi si naona tu mara nyingi hapa mnatuma picha za ku download, As an IT professional zile picha nilikua naziona zote, halafu nakausha tu kwa sababu mi mstaarabu... hii najua inakupiga.. lakini ndio ukweli..
 
Uongo ndio hapana, gombaneni wenyewe nisihusishwe
Halafu usikute hii ni ID moja kwa maana hizi couple za ja ni noma unakuta unajiuliza na kujijibu mwenyewe, toka nilipoona unatuma picha za ku downoad nikajua tu hapa kazi ipo, halafu kuna picha nnayo sijui niweke hapa...
 
was3ng3 nyie mnanichukuli kirahisi...
naweza kuwaaibisha hapa mkashangaa...
stvpid..
 
Hana chochote, mi si naona tu mara nyingi hapa mnatuma picha za ku download, As an IT professional zile picha nilikua naziona zote, halafu nakausha tu kwa sababu mi mstaarabu... hii najua inakupiga.. lakini ndio ukweli..
Huo ni uongo labda km unataka kutafuta sifa za kijinga. Narudia tena usiniingize kwenye majibizano yenu.
 
Huo ni uongo labda km unataka kutafuta sifa za kijinga. Narudia tena usiniingize kwenye majibizano yenu.
Hivi we unataka nini?
Unataka nikuabishe hapa
We umetuma picha za ku download hazihesabiki...
NIkawa nakausha tu...
Lakini moyoni unajua ukweli kabisa nachozungumza...
Tuachane na hizo issue..
 
Jambo linalonihusu huwa nalijibu, hiyo kukausha kwangu haipo ni utaratibu tu ambao nimeuweka
Wanaume hatuna hayo mambo? Sawa, lakini kwanza mm naamini vipi kama ww ni mwanaume?

Naonekana chenga kwa nani? Kwako au kwa nani?
 
Halafu usikute hii ni ID moja kwa maana hizi couple za ja ni noma unakuta unajiuliza na kujijibu mwenyewe, toka nilipoona unatuma picha za ku downoad nikajua tu hapa kazi ipo, halafu kuna picha nnayo sijui niweke hapa...
Kazi unayo kumbe huwa unasave picha zinazotumwa za watu?!! Haya unazifanyia Kazi gani?? Kumbe ww kidampa km coca alivyosema?!! Pole sana kumbe picha zinakutesa kiasi hicho??
 
Back
Top Bottom