Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,849
- 57,526
Me naona bora walivyo nikatalia tu, yule binti angefanya niuze assets zote za familia haki ya nani π€π
Me naona bora walivyo nikatalia tu, yule binti angefanya niuze assets zote za familia haki ya nani π€π
Wazee wenzetu akina Ben Mkapa, Mzee Mwinyi waliandika historia ya maisha yao kwenye Vitabu, sisi wengine ndiyo tunawasimulia nyie Wajukuu ili mtusaidie kutuandikia.following...ππ π
Hapana.... Mybe itokee huyu mshangazi akahitaji hii huduma




trokaaaah unatakaa sanaaaaπ€£π€£Wazee wenzetu akina Ben Mkapa, Mzee Mwinyi waliandika historia ya maisha yao kwenye Vitabu, sisi wengine ndiyo tunawasimulia nyie Wajukuu ili mtusaidie kutuandikia.
Babu yenu nimekula chumvi nyingi mjue π
We nawe kichwa kizito unakosea mashartiπ€£Natumaje na ya kutolea wakati nyago la uongo!! ππππ
Kila nikifanya ulichonifundisha kaka yako anakasirika, yan namtibua kabisaa.!! Mpk nikawaza au ndugu wa mume hawanipendi wameamua kunipa tips za kumkwaza mume?? πππ
Wifi sitoki hata walete greda, mwanaume malaika hayupo, kwanza bora shetani unayemjua, kuliko malaika usiyemjua..!! Upo hapo? π
Ww ngβangβana hakuna kutoka mtu.!! Nasemaje Nasemaje kaka yako siwaachii π€£π€£π€£π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Watu mna siri
HatariiiiiWatu mna siri
Kumbe mnamiliki ma ndinga makali kimyakimya![]()





Unajua sana πNikumbushee uduguu![]()
πππ babuuu mkali wa hizi kazi!! Yani babu unawapatia wajukuu zako humu jf. Huna bayaaaHahaha..........ila nashukuru Wazee kunikatalia kumuoa yule Binti, vinginevyo Kwa ule utundu wake ningeuza assets zote za familia kwaajili yakeπ€π
Natamba naye wenye uchungu wakazae π€£π€£π€£unatamba nae
πππ Itakuwa kichwa cha kaka ako ndo kigumu, mbona mi nimefanya km ulivyosema?? Nimegundua ndugu wa mume hamnipendi π€£We nawe kichwa kizito unakosea mashartiπ€£
πππ Hizo ndo sura za wanaotunanga pm
πfollowing...ππ π
Ongeza uduguu kule nyuma hawajasikia πππ
babuuu mkali wa hizi kazi!! Yani babu unawapatia wajukuu zako humu jf. Huna bayaaa
Nikizaa mtoto wa kiume nataka akiwa mkubwa awe km wewe![]()




nimecheka had nimetema mate kwa lazimaa.