Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,370
- 80,205
😁🤣🤣Jidanganye
😁🤣🤣Jidanganye
Polee sana 😎😎 ila weka basi kama siku ileee 🤣😁Niliselfika siku moja mkanicheka mimi bonge, mwingine mara nyingi ananitania nilijisikia vibaya
Subiri niwekePolee sana 😎😎 ila weka basi kama siku ileee 🤣😁
Hahaha...........kuwa na huruma na Wazee 🤗😜😂😂😂 babuuu mkali wa hizi kazi!! Yani babu unawapatia wajukuu zako humu jf. Huna bayaaa
Nikizaa mtoto wa kiume nataka akiwa mkubwa awe km wewe 🤣🤣
Leo live with Mjukuu 🤗Subiri niwekeView attachment 3020073
Mashallah 😍Subiri niwekeView attachment 3020073
Mtani selfika 🖐️😁😂hapanaaa!!!
Usiniambie umeshachukua Posa na ya yule Kijana tuliyemkataa Mjukuu 🤗Babu usingemuita huyo atakuja kuharibu hapa😂
Sijapokea babuUsiniambie umeshachukua Posa na ya yule Kijana tuliyemkataa Mjukuu 🤗
Kumbe wee dear ni mkubwa!! Nilijua wee ni katoto.Subiri niwekeView attachment 3020073
na 



😂Nimelia sana! Mimi 25 sijafikisha ila nikikaa vibaya hadi wazee wananiamkiaKumbe wee dear ni mkubwa!! Nilijua wee ni katoto.
Ila uko vizuri,na
![]()
Yani babu kabali yao!! 🙌Hahaha...........kuwa na huruma na Wazee 🤗😜
Njoo 🖐️😎😎Mtaniiii!!! Wait nakujaaa live Leo,![]()
Hapo sawa, maana nilitaka nimwambie Bibi yako akutumie ule wimbo "Huyo ni chaguo lako" 😜Sijapokea babu