Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,950
Kwender mfyuuu 😂😂😂Sijuii uduguu![]()
Kwender mfyuuu 😂😂😂Sijuii uduguu![]()
Babu hana baya mi namuelewa sana.!! Hafu shabiki yake sana 😂😂😂😂nimecheka had nimetema mate kwa lazimaa.
Una nn wee?
😂😂😂😂😂uduguuu sitakiii, kwann lakiniii?
We nawe unataka tupewe ban sasa unamuita wa nini?? 😞Mkuu njoo uselfike Maxence Melo
Hapana yeye hatoi bannedWe nawe unataka tupewe ban sasa unamuita wa nini?? 😞
Km ww Ngonyani tunakusevu 🐒 hatuna muda wa kupoteza
JidanganyeHapana yeye hatoi banned
Km ww Ngonyani tunakusevuhatuna muda wa kupoteza



afu mie ubini wangu, ni mdudu mbayaa, simpendi hata kumuona.




😂😂😂😂 Hebu mtaje basiafu mie ubini wangu, ni mdudu mbayaa, simpendi hata kumuona.
Bas utasikia mama anapenda kumtaja huyo mdudu ili kunikomesha nikimchokoza.
Ananikataa mood sanaa.
Hebu mtaje basi




Kunguru 😂😂😂😂
Mdudu mwenyewe ukimuona utakimbia, anaelekea kufanana na bundi, hapo ushamjua.