cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,296
Lekcharaaaaa hii naishi nayoo, afu imenikoshaa balaaa!!
Afu ndo ukweli wenyeweee!!!



Lekcharaaaaa hii naishi nayoo, afu imenikoshaa balaaa!!



Safari njemaa!!
Ahsante sana mheshimiwaSafari njemaa!!
Umekamii mambo ya kupasuliana mayai khaaa 😁😁😁njaa zitakuua wee Dogo, ytakuja upasuliwe yai.
Shauri ako.
Nakuonea wivu sana Ila bless ma NiggaMm na kufurahisha genge wapi na wapi, ww na wenzako watatu mlimwama wapi coca amawazidi? Na kwa nn huwa hampendani?
Sijui maisha magumu, sijui tafuta pesa, unajipa tabu tu mm siwezi kujisifia kwako nyie ambao coca anawaita "vidampa wenzake"
Kuhusu la manzi kuniacha sijui blah blah gan achana nalo, hii ndio convo yetu toka asubuhi whatsapp, so tulia tafuta mbinu uwe kama na nyota ya coca
Lekcharaaaaa hii naishi nayoo, afu imenikoshaa balaaa!!
Afu ndo ukweli wenyeweee!!!![]()
😂😂😂😂😂😂Mzee mwenzangu huyo binti sikufanikiwa kumuoa, maana ndugu walipinga Kwa kusema kama alinionjesha mara moja nikataka kuuza Kiwanja cha familia je akiwa ananionjesha Kila Siku si nitawauza wao wenyewe ili tukaishi na binti Dubai 😜 🙌
Bora tumezeeka sasa 🤗
Mkwe unasemaje
😂😂😂 huyu mkwe jau kweli, lakini si nilikukanya mapema ukakaza fuvu ukamsikiliza mpambe wake.!!? Acha kikulambe.naona
huyo mkweo ht pole sijaona ataweza kukutunza🙂😊😜
Pa1Ahsante sana mheshimiwa
Umekamii mambo ya kupasuliana mayai khaaa
Sema astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah






😂😂🙂😂😂😂 huyu mkwe jau kweli, lakini si nilikukanya mapema ukakaza fuvu ukamsikiliza mpambe wake.!!? Acha kikulambe.
Lekchaaaaa hii kaliiii afu umetishaaa sanaaa!!!




dj apige kibao cha ,Mimi nacoca Hadi kiama,
Wii mnafki ww sijaona 😂😂😂Ile comment niliandika huku nimelewa🤣 Acha ujinga, kuwa king'ang'a.....unaachanaje yani?
Shikilia hapo hapo wiii, huna baya
😂😂😂 ila babu unazingua sana ujueMzee mwenzangu huyo binti sikufanikiwa kumuoa, maana ndugu walipinga Kwa kusema kama alinionjesha mara moja nikataka kuuza Kiwanja cha familia je akiwa ananionjesha Kila Siku si nitawauza wao wenyewe ili tukaishi na binti Dubai 😜 🙌
Bora tumezeeka sasa 🤗
Kwema? Ngapi ngapi huko? 😂😂😂utajijuuu