Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

✈️✈️✈️✈️
B7C5258A-E3BC-4AAE-A6F4-3DC00D918994.jpeg
 

Attachments

  • B982FEBC-DE96-4F65-B265-C38B92D9FF9C.jpeg
    B982FEBC-DE96-4F65-B265-C38B92D9FF9C.jpeg
    224.4 KB · Views: 2
njaa zitakuua wee Dogo, ytakuja upasuliwe yai.
Shauri ako.
Umekamii mambo ya kupasuliana mayai khaaa 😁😁😁
Sema astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah
 
N
Mm na kufurahisha genge wapi na wapi, ww na wenzako watatu mlimwama wapi coca amawazidi? Na kwa nn huwa hampendani?

Sijui maisha magumu, sijui tafuta pesa, unajipa tabu tu mm siwezi kujisifia kwako nyie ambao coca anawaita "vidampa wenzake"
Kuhusu la manzi kuniacha sijui blah blah gan achana nalo, hii ndio convo yetu toka asubuhi whatsapp, so tulia tafuta mbinu uwe kama na nyota ya coca
Nakuonea wivu sana Ila bless ma Nigga
 
Mzee mwenzangu huyo binti sikufanikiwa kumuoa, maana ndugu walipinga Kwa kusema kama alinionjesha mara moja nikataka kuuza Kiwanja cha familia je akiwa ananionjesha Kila Siku si nitawauza wao wenyewe ili tukaishi na binti Dubai 😜 🙌

Bora tumezeeka sasa 🤗
😂😂😂😂😂😂

Ndugu walizingua kinoma.

Huyo binti alikuwa anatabia za ephen_
 
Umekamii mambo ya kupasuliana mayai khaaa
Sema astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah
 
Ile comment niliandika huku nimelewa🤣 Acha ujinga, kuwa king'ang'a.....unaachanaje yani?

Shikilia hapo hapo wiii, huna baya
Wii mnafki ww sijaona 😂😂😂
Kwanza ulinialika nyago la uongo na pesa ukanichaji, matokeo yake nikaachika.!!

Nasemaje kaka yako simuachi, nnaye na natamba naye we huogopi??!! 😂😂😂
Kwanza namuacha, namuachia nani?? Yani km maex zake wametulia wanasubiri nimuache wajirudishe nawapa pole sana’aa.!!!
Siwaachii ng’o! Mkinga nakaba had penalty oyooooooo.!!! 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
 
Mzee mwenzangu huyo binti sikufanikiwa kumuoa, maana ndugu walipinga Kwa kusema kama alinionjesha mara moja nikataka kuuza Kiwanja cha familia je akiwa ananionjesha Kila Siku si nitawauza wao wenyewe ili tukaishi na binti Dubai 😜 🙌

Bora tumezeeka sasa 🤗
😂😂😂 ila babu unazingua sana ujue
Hizi story za mwaka 47 zinachekesha
 
Back
Top Bottom