Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,504
- 95,030
Kwema? Ngapi ngapi huko? 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utajijuuu
Kwema? Ngapi ngapi huko? 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utajijuuu
Nimeona wizo ana ban, kafanya nini? 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
siogopagi mademu wazuriWee huogopiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uduguu ww bado hujafikiwa 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
3 bila [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwema? Ngapi ngapi huko? [emoji23][emoji23][emoji23]
Nikupe faini kwa kukataa ushauri wangu dadaako niliyewahi kuliona jua 😂😂😂😂😂🙂
hawezi kukutunza achana nae ngoja tuangalie ustasrabu mwingine
Hela ya yenyewe hukutuma na ya kutolea🤣🤣🤣Wii mnafki ww sijaona 😂😂😂
Kwanza ulinialika nyago la uongo na pesa ukanichaji, matokeo yake nikaachika.!!
Nasemaje kaka yako simuachi, nnaye na natamba naye we huogopi??!! 😂😂😂
Kwanza namuacha, namuachia nani?? Yani km maex zake wametulia wanasubiri nimuache wajirudishe nawapa pole sana’aa.!!!
Siwaachii ng’o! Mkinga nakaba had penalty oyooooooo.!!! 🤸♀️🤸♀️🤸♀️
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata sijui kakwaana na modes wapiii, nimeogopaaa.Nimeona wizo ana ban, kafanya nini? [emoji23][emoji23][emoji23]
Badoo sijafikiwaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uduguu ww bado hujafikiwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Apige “UTANIUA” ya Zuchu 🤣🤣🤣🤣
Usinambiee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siogopagi mademu wazuri
ndio nakuambia hivyo myUsinambiee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu mbona sina taarifa, Zuchu ana jisong la "utaniua"?Apige “UTANIUA” ya Zuchu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi mie nna my wangapii humuu?ndio nakuambia hivyo my
😂😂😂 wape pole wanafungwaje nyumbani?? Ugenini si ndo watatuaibisha??3 bila [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu kwan afu mbna sielewiii, niko buzzy sana na Ba tamu,[emoji23][emoji23][emoji23] wape pole wanafungwaje nyumbani?? Ugenini si ndo watatuaibisha??
unae mmoja tuu ambae ni mimi my[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi mie nna my wangapii humuu?
Semaa kwelii, [emoji23][emoji23][emoji23]unae mmoja tuu ambae ni mimi my
Natumaje na ya kutolea wakati nyago la uongo!! 😂😂😂😂Hela ya yenyewe hukutuma na ya kutolea🤣🤣🤣
Hivi Karne hii mtu unaachika kweli? Huyo mkamilifu unaenda kumpata wapi??? ni mwendo wa kung'ang'aniaa🤣🤣🤣
Mie nipo huku na huku, udugu nautaka, Wifi nampenda....nyie Mie naogopaaa???🤣🤣🤣
Wee vazi gani? 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata sijui kakwaana na modes wapiii, nimeogopaaa.
Lakini amerud kwa vazi jinginee.