Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,097
- 41,714
following...😂😅😅Hahaha..........ila nashukuru Wazee kunikatalia kumuoa yule Binti, vinginevyo Kwa ule utundu wake ningeuza assets zote za familia kwaajili yake🤗🙌
following...😂😅😅Hahaha..........ila nashukuru Wazee kunikatalia kumuoa yule Binti, vinginevyo Kwa ule utundu wake ningeuza assets zote za familia kwaajili yake🤗🙌
Me naona bora walivyo nikatalia tu, yule binti angefanya niuze assets zote za familia haki ya nani 🤗🙌
Wazee wenzetu akina Ben Mkapa, Mzee Mwinyi waliandika historia ya maisha yao kwenye Vitabu, sisi wengine ndiyo tunawasimulia nyie Wajukuu ili mtusaidie kutuandikia.following...😂😅😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] trokaaaah unatakaa sanaaaaHapana.... Mybe itokee huyu mshangazi akahitaji hii huduma
🤣🤣Wazee wenzetu akina Ben Mkapa, Mzee Mwinyi waliandika historia ya maisha yao kwenye Vitabu, sisi wengine ndiyo tunawasimulia nyie Wajukuu ili mtusaidie kutuandikia.
Babu yenu nimekula chumvi nyingi mjue 😜
We nawe kichwa kizito unakosea masharti🤣Natumaje na ya kutolea wakati nyago la uongo!! 😂😂😂😂
Kila nikifanya ulichonifundisha kaka yako anakasirika, yan namtibua kabisaa.!! Mpk nikawaza au ndugu wa mume hawanipendi wameamua kunipa tips za kumkwaza mume?? 😂😂😂
Wifi sitoki hata walete greda, mwanaume malaika hayupo, kwanza bora shetani unayemjua, kuliko malaika usiyemjua..!! Upo hapo? 👌
Ww ng’ang’ana hakuna kutoka mtu.!! Nasemaje Nasemaje kaka yako siwaachii 🤣🤣🤣🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Watu mna siriLamomy uduguu naomba lift, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 3019995
Hatariiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu mna siri
Kumbe mnamiliki ma ndinga makali kimyakimya [emoji1787][emoji1787]
Unajua sana 😂Nikumbushee uduguu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂 babuuu mkali wa hizi kazi!! Yani babu unawapatia wajukuu zako humu jf. Huna bayaaaHahaha..........ila nashukuru Wazee kunikatalia kumuoa yule Binti, vinginevyo Kwa ule utundu wake ningeuza assets zote za familia kwaajili yake🤗🙌
Natamba naye wenye uchungu wakazae 🤣🤣🤣unatamba nae
😂😂😂 Itakuwa kichwa cha kaka ako ndo kigumu, mbona mi nimefanya km ulivyosema?? Nimegundua ndugu wa mume hamnipendi 🤣We nawe kichwa kizito unakosea masharti🤣
😂😂😂 Hizo ndo sura za wanaotunanga pmLamomy uduguu naomba lift, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 3019995
😜following...😂😅😅
Ongeza uduguu kule nyuma hawajasikia 😂😂😂Niongeze sauti au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 3019979
Sijuii uduguu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajua sana [emoji23]