cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,298
Haya haya kaweka whatsapp status chap😂Lekchaaaaa hii kaliiii afu umetishaaa sanaaa!!!
Iko![]()
Wanaume hawaachagi, tatizo ww una gubu uduguu wangu 😂😂😂😂kaniachaa yeyee jamani, naanzaje kupiga teke fuko la hela?
😂😂😂😂 Tuna gubu ndio tatizotatizo mode mwenyewe badala ya kunitetea ndo atakua analima ban kila nikimchachua.
Woiiiiih
Kumbeee 😂😂😂😂Na ban kapatia ktk ule uzi, kuna comments zake zimefutwaaa.
, wizo ana balaaa
😂😂😂 Kasema we mbaya hakupendi@Lamomy uduguu nisaidie hapaa,![]()
Unazingua 😂😂😂nikumbushwee.
Haya haya kaweka whatsapp status chap![]()



nikiwekaga status quotes km hizo, kuna waja wanafura hatariiii, sijui inawachomaa wapiiii? Lolusimshirikishe huyo anaroho mbaya sana my@Lamomy uduguu nisaidie hapaa,![]()
Laana na pepo la kufukua mitaro linakuandama kwa kweli
Laana na pepo la kufukua mitaro linakuandama kwa kweli



wee ndo linakuandamaaa.Hapana.... Mybe itokee huyu mshangazi akahitaji hii hudumawee ndo linakuandamaaa.
😂😂Nikupe faini kwa kukataa ushauri wangu dadaako niliyewahi kuliona jua 😂😂😂
Uwe unanisikiliza nikikwambia ohhh!!
Hahaha..........ila nashukuru Wazee kunikatalia kumuoa yule Binti, vinginevyo Kwa ule utundu wake ningeuza assets zote za familia kwaajili yake🤗🙌😂😂😂 ila babu unazingua sana ujue
Hizi story za mwaka 47 zinachekesha
unatamba naeNatumaje na ya kutolea wakati nyago la uongo!! 😂😂😂😂
Kila nikifanya ulichonifundisha kaka yako anakasirika, yan namtibua kabisaa.!! Mpk nikawaza au ndugu wa mume hawanipendi wameamua kunipa tips za kumkwaza mume?? 😂😂😂
Wifi sitoki hata walete greda, mwanaume malaika hayupo, kwanza bora shetani unayemjua, kuliko malaika usiyemjua..!! Upo hapo? 👌
Ww ng’ang’ana hakuna kutoka mtu.!! Nasemaje Nasemaje kaka yako siwaachii 🤣🤣🤣🤸♀️🤸♀️🤸♀️
following...😂😅😅Hahaha..........ila nashukuru Wazee kunikatalia kumuoa yule Binti, vinginevyo Kwa ule utundu wake ningeuza assets zote za familia kwaajili yake🤗🙌