Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wii mnafki ww sijaona 😂😂😂
Kwanza ulinialika nyago la uongo na pesa ukanichaji, matokeo yake nikaachika.!!

Nasemaje kaka yako simuachi, nnaye na natamba naye we huogopi??!! 😂😂😂
Kwanza namuacha, namuachia nani?? Yani km maex zake wametulia wanasubiri nimuache wajirudishe nawapa pole sana’aa.!!!
Siwaachii ng’o! Mkinga nakaba had penalty oyooooooo.!!! 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
Hela ya yenyewe hukutuma na ya kutolea🤣🤣🤣

Hivi Karne hii mtu unaachika kweli? Huyo mkamilifu unaenda kumpata wapi??? ni mwendo wa kung'ang'aniaa🤣🤣🤣

Mie nipo huku na huku, udugu nautaka, Wifi nampenda....nyie Mie naogopaaa???🤣🤣🤣
 
wape pole wanafungwaje nyumbani?? Ugenini si ndo watatuaibisha??
uduguu kwan afu mbna sielewiii, niko buzzy sana na Ba tamu,
Kaniambia huu muda wangu wa ku enjoy, mateso bas na nisahau, niko ktk mikono sahihi.

Em ninong'onezee kuna niajeee?
 
Hela ya yenyewe hukutuma na ya kutolea🤣🤣🤣

Hivi Karne hii mtu unaachika kweli? Huyo mkamilifu unaenda kumpata wapi??? ni mwendo wa kung'ang'aniaa🤣🤣🤣

Mie nipo huku na huku, udugu nautaka, Wifi nampenda....nyie Mie naogopaaa???🤣🤣🤣
Natumaje na ya kutolea wakati nyago la uongo!! 😂😂😂😂
Kila nikifanya ulichonifundisha kaka yako anakasirika, yan namtibua kabisaa.!! Mpk nikawaza au ndugu wa mume hawanipendi wameamua kunipa tips za kumkwaza mume?? 😂😂😂

Wifi sitoki hata walete greda, mwanaume malaika hayupo, kwanza bora shetani unayemjua, kuliko malaika usiyemjua..!! Upo hapo? 👌
Ww ng’ang’ana hakuna kutoka mtu.!! Nasemaje Nasemaje kaka yako siwaachii 🤣🤣🤣🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
 
Back
Top Bottom