Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,950
Nimeona wizo ana ban, kafanya nini? 😂😂😂
Nimeona wizo ana ban, kafanya nini? 😂😂😂
siogopagi mademu wazuriWee huogopiii?![]()
Uduguu ww bado hujafikiwa 😂😂😂
Nikupe faini kwa kukataa ushauri wangu dadaako niliyewahi kuliona jua 😂😂😂😂😂🙂
hawezi kukutunza achana nae ngoja tuangalie ustasrabu mwingine
Hela ya yenyewe hukutuma na ya kutolea🤣🤣🤣Wii mnafki ww sijaona 😂😂😂
Kwanza ulinialika nyago la uongo na pesa ukanichaji, matokeo yake nikaachika.!!
Nasemaje kaka yako simuachi, nnaye na natamba naye we huogopi??!! 😂😂😂
Kwanza namuacha, namuachia nani?? Yani km maex zake wametulia wanasubiri nimuache wajirudishe nawapa pole sana’aa.!!!
Siwaachii ng’o! Mkinga nakaba had penalty oyooooooo.!!! 🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Nimeona wizo ana ban, kafanya nini?![]()



hata sijui kakwaana na modes wapiii, nimeogopaaa.Apige “UTANIUA” ya Zuchu 🤣🤣🤣🤣
ndio nakuambia hivyo myUsinambiee![]()
Apige “UTANIUA” ya Zuchu![]()



uduguu mbona sina taarifa, Zuchu ana jisong la "utaniua"?😂😂😂 wape pole wanafungwaje nyumbani?? Ugenini si ndo watatuaibisha??3 bila![]()
wape pole wanafungwaje nyumbani?? Ugenini si ndo watatuaibisha??



uduguu kwan afu mbna sielewiii, niko buzzy sana na Ba tamu,



unae mmoja tuu ambae ni mimi myhivi mie nna my wangapii humuu?
Natumaje na ya kutolea wakati nyago la uongo!! 😂😂😂😂Hela ya yenyewe hukutuma na ya kutolea🤣🤣🤣
Hivi Karne hii mtu unaachika kweli? Huyo mkamilifu unaenda kumpata wapi??? ni mwendo wa kung'ang'aniaa🤣🤣🤣
Mie nipo huku na huku, udugu nautaka, Wifi nampenda....nyie Mie naogopaaa???🤣🤣🤣
Wee vazi gani? 😂😂😂hata sijui kakwaana na modes wapiii, nimeogopaaa.
Lakini amerud kwa vazi jinginee.
😂😂😂😂 soon utafikiwa tuliaBadoo sijafikiwaa,![]()