Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Makoroboi hawawezi kuweka lidude kutisha hivo.

Niko poa kabisa babu
Hahaha.................utasema hajalilipa mshahara Kwa miezi 6 hivyo limeamua kumvimbia boss wake 😂

Uje tunywe kahawa hapa the Cask Mjukuu 🤗 😜
 
Hahaha.................utasema hajalilipa mshahara Kwa miezi 6 hivyo limeamua kumvimbia boss wake 😂

Uje tunywe kahawa hapa the Cask Mjukuu 🤗 😜
Yani Hilo limdoli komesha ya wizi na wadokozi 😂😂😂😂😂😂

Asante sana babu kwa kahawa.
 
Mwizi kabla hajaiba anakutana na mdoli linamwangalia Kwa Sura hiyo lazima ahairishe kuiba 😂

Kahawa huwa haikataliwi Mjukuu isipokuwa beer 😜
😂😂😂Sura ya ki zombie, alfu litiwe mi make up kama midamu damu eeeeh mwizi lazima adate

Asante sana babu mim nishazoea soda zile Fanta orange siunajua tena sie watoto.
 
😂😂😂Sura ya ki zombie, alfu litiwe ni make up kama midamu damu eeeeh mwizi lazima date

Asante sana babu mim nishazoea soda zile Fanta orange siunajua tena sie watoto.
Hatari sana 😂

Haya uje unywe hizo soda za watoto wakati tunasubiria mahubiri yaanze hapa uwanja wa Kirumba 🤗
 
Back
Top Bottom