Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 20,059
- 61,329
Wakutengenezee kwenye mfumo wa Cocktail ama kawaida?Sawa babu niagizie kabisa nikifika iwe mezani
Ukikuta Mzee mmoja amevaa miwani ya macho pamoja na Mkongojo pembeni ujue ni Mimi 😜
Wakutengenezee kwenye mfumo wa Cocktail ama kawaida?Sawa babu niagizie kabisa nikifika iwe mezani
Cocktail tu babu.Wakutengenezee kwenye mfumo wa Cocktail ama kawaida?
Ukikuta Mzee mmoja amevaa miwani ya macho pamoja na Mkongojo pembeni ujue ni Mimi 😜
🤣Mkakati wetumi na mdogo wako Tayana-wog wa kukutunza kama shukrani upo palepale
Wewe huyo🤣Hilo muhimu lazima nitunzwe mama mzaa chema 😂😂😂😂
Tayari Mhudumu anashughulikia order yakoCocktail tu babu.
Sawa babu nikifika hapo ntakuona tu
Mim nimevaa gauni la rangi ya CCM
🤣🤣🤣Hujamalizia hapo nina pesa...
Hujaacha ukichaa wako🤣Lodge kumtibu mgonjwa
View attachment 3019455
Mim na samaki wapi na wapi.Tayari Mhudumu anashughulikia order yako
Ulisema waandae na Mbuzi Choma ama Sato Choma?
Kuhusu hiyo rangi ya gauni nimependa, na hivi Uchaguzi ni Mwakani watahisi Babu yenu nimeanza kukaa vikao na Wajumbe 😜
🤣🤣🤣Kilichosaidia zama zile hakukuwa na maradhi mengi kama miaka hii, japo utofauti wa mabinti wa zama zetu na hawa wa zama hizi ni utundu tu kunako 6*6
Nakumbuka Mwaka 47 bila ndugu kunigomea, nilitaka kumhonga binti mmoja Kiwanja cha familia baada ya kuzidiwa na utundu wake 😜🏃🏃🏃🙌
Mbuzi choma ipo tayari Mjukuu, unasubiriwa wewe tu 🤗Mim na samaki wapi na wapi.
Mwambie aandae na mbuzi choma hapo.
Eeeeh gauni linawaka hatari
Wajue ni vikao vya kamati kuu vimeanza.
😅😅🏃🏃🏃
Nipo hapa nasubiri lift ya kunileta huko.Mbuzi choma ipo tayari Mjukuu, unasubiriwa wewe tu 🤗
Hahaha........vikao vya Wajumbe ndiyo vimeanza rasmi 😅
Sawa Mjukuu 🤗Nipo hapa nasubiri lift ya kunileta huko.
Mwambie mhudumu aniandalie na foil nikishiba nabeba
X wangu mbona ana kichwa cha kiume 😂😂😂
Mwili wa kike kichwa sa😂😂😂X wangu mbona ana kichwa cha kiume 😂😂😂
Mauzinde wa jf huyoUmefanana na zile picha anazotupiaga Mwachi 🤣🤣🤣