Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,973
- 26,963
Mikono so issue hiko kichwa 😂😂😂Mbona katolewa mikono tena
Kinatisha
Mikono so issue hiko kichwa 😂😂😂Mbona katolewa mikono tena
Hata kama ni mdoli, ndiyo uwe na sura ngumu hivyo 😜
Mwenyew nimezamia Kwa watu
Yani unatisha mno.Hata kama ni mdoli, ndiyo uwe na sura ngumu hivyo 😜
Hapa ni Makoloboi street ama?
Okay, nilipita maeneo hayo last week nikawa nimeufananisha.Yani unatisha mno.
Hapana niliikuta tu mtandaoni hiyo picha
Makoroboi hawawezi kuweka lidude kutisha hivo.Okay, nilipita maeneo hayo last week nikawa nimeufananisha.
Hujambo lakini Mjukuu?
Kichwa kimechongwa ahahahahahMikono so issue hiko kichwa 😂😂😂
Kinatisha
Hahaha.................utasema hajalilipa mshahara Kwa miezi 6 hivyo limeamua kumvimbia boss wake 😂Makoroboi hawawezi kuweka lidude kutisha hivo.
Niko poa kabisa babu
Yani Hilo limdoli komesha ya wizi na wadokozi 😂😂😂😂😂😂Hahaha.................utasema hajalilipa mshahara Kwa miezi 6 hivyo limeamua kumvimbia boss wake 😂
Uje tunywe kahawa hapa the Cask Mjukuu 🤗 😜
😂😂😂😆😆😆 Ila aiseh.Kichwa kimechongwa ahahahahah
Mjini pazito 😁😁😁
Mwizi kabla hajaiba anakutana na mdoli linamwangalia Kwa Sura hiyo lazima ahairishe kuiba 😂Yani Hilo limdoli komesha ya wizi na wadokozi 😂😂😂😂😂😂
Asante sana babu kwa kahawa.
😂😂😂Sura ya ki zombie, alfu litiwe mi make up kama midamu damu eeeeh mwizi lazima adateMwizi kabla hajaiba anakutana na mdoli linamwangalia Kwa Sura hiyo lazima ahairishe kuiba 😂
Kahawa huwa haikataliwi Mjukuu isipokuwa beer 😜
Hatari sana 😂😂😂😂Sura ya ki zombie, alfu litiwe ni make up kama midamu damu eeeeh mwizi lazima date
Asante sana babu mim nishazoea soda zile Fanta orange siunajua tena sie watoto.
Sawa babu niagizie kabisa nikifika iwe mezaniHatari sana 😂
Haya uje unywe hizo soda za watoto wakati tunasubiria mahubiri yaanze hapa uwanja wa Kirumba 🤗
Wakutengenezee kwenye mfumo wa Cocktail ama kawaida?Sawa babu niagizie kabisa nikifika iwe mezani