Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jamanii wee 100 acha fix, sa hapo kwa picha ni wapi? Em sema kwelii.
😂😂😂😂 halafu uduguu ile lugha yetu ya kinyume nyume si nimeikuta kwa mh Lema insta, alituchabo humu nini??
 
Lodge kumtibu mgonjwa
IMG_20240519_110337.jpg
 
halafu uduguu ile lugha yetu ya kinyume nyume si nimeikuta kwa mh Lema insta, alituchabo humu nini??
mie kuna vijimaneno vyangu nilivikuta kwenye tamthilia ya lawama, nilichokaaa.

Wana chabo km kauwaaaa!!!!
 
Back
Top Bottom