Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mie kuna vijimaneno vyangu nilivikuta kwenye tamthilia ya lawama, nilichokaaa.

Wana chabo km kauwaaaa!!!!
Wanatuchabo aiseee!! Sie tuna kitu basi tyuu hatujaamua kuvifanyia kazi. Km watu wanafatilia kimya kimya mizinguano yetu na kantry mpk wengine wanafurahia na kuhuzunika, wengine wanapeana taarifa pm watufatilie km series yani dadeq, jf huu uzi na wa kimasihara waanze kutulipa members. Hii ni zaidi ya burudani. 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wanatuchabo aiseee!! Sie tuna kitu basi tyuu hatujaamua kuvifanyia kazi. Km watu wanafatilia kimya kimya mizinguano yetu na kantry mpk wengine wanafurahia na kuhuzunika, wengine wanapeana taarifa pm watufatilie km series yani dadeq, jf huu uzi na wa Kumasi hats waanze kutulipa members. Hii ni zaidi ya burudani.
kila nikitaka kustaafu heka heka, njegeka hii hapa.

Nitakikuta kikokotoo kweli, au ndo warithi watakula mema ya mirathi,
 
Back
Top Bottom