Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,193
- 33,577
Jambo likija hapa huwa linajibiwa hapa, likiwa limekuja huko kwingine linajibiwa huko kwingine no remorseEeee mkutane tu mpigane yaishe...hapa jukwaani mnajichoresha tu
Nimewafuatilia siku ngapi hizi hadi nikatamani kuwa-PM muache mnachokifanya ila nikaogopa maana sijakuzoea wewe wala Countrywide
Hainihusu lakini nashauri tu hivyo hivyo...malizeni mambo yenu hata PM maana kwa mujibu wa Countrywide ni kwamba huko kwenye namba za simu umemlamba block 😆
Hapa jukwaani sio salama
Jukwaani sio salama yes, but kwa wale cowards tu. Haata hivyo ushauri wako umechukuliwa, relax and thank you