Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Eeee mkutane tu mpigane yaishe...hapa jukwaani mnajichoresha tu

Nimewafuatilia siku ngapi hizi hadi nikatamani kuwa-PM muache mnachokifanya ila nikaogopa maana sijakuzoea wewe wala Countrywide

Hainihusu lakini nashauri tu hivyo hivyo...malizeni mambo yenu hata PM maana kwa mujibu wa Countrywide ni kwamba huko kwenye namba za simu umemlamba block 😆

Hapa jukwaani sio salama
Jambo likija hapa huwa linajibiwa hapa, likiwa limekuja huko kwingine linajibiwa huko kwingine no remorse

Jukwaani sio salama yes, but kwa wale cowards tu. Haata hivyo ushauri wako umechukuliwa, relax and thank you
 
Jambo linalonihusu huwa nalijibu, hiyo kukausha kwangu haipo ni utaratibu tu ambao nimeuweka
Wanaume hatuna hayo mambo? Sawa, lakini kwanza mm naamini vipi kama ww ni mwanaume?

Naonekana chenga kwa nani? Kwako au kwa nani?
Una maneno mengi sana.. yani unajibizana na ex wako as if ni shoga yako..
 
Eeee mkutane tu mpigane yaishe...hapa jukwaani mnajichoresha tu

Nimewafuatilia siku ngapi hizi hadi nikatamani kuwa-PM muache mnachokifanya ila nikaogopa maana sijakuzoea wewe wala Countrywide

Hainihusu lakini nashauri tu hivyo hivyo...malizeni mambo yenu hata PM maana kwa mujibu wa Countrywide ni kwamba huko kwenye namba za simu umemlamba block 😆

Hapa jukwaani sio salama
Yameisha sis wala haitojirudia tena. Nimefata ushauri wako. Mimi halafu kwa huyu bwana sina hata la kusema nampenda nimezama sijielewi 😜
Ndiomana sijibu kitu chochote kibaya.
 
Kumbe ushauri wote ulionipa ni ku-take advantage ya kuomba? Dogo nasikitika kukuambia huna akili
We ni ms3ng3, huyo manzi mwenyewe i was not serious, nikiwa serious namfuata PM, mi nilikua nachangamsha uzi tu, fvck u Bro...
 
Yameisha sis wala haitojirudia tena. Nimefata ushauri wako. Mimi halafu kwa huyu bwana sina hata la kusema nampenda nimezama sijielewi 😜
Ndiomana sijibu kitu chochote kibaya.
We ni mjinga, Bro unakuwa mjinga mjinga..
 
Watu wambea wanakufundisha umbea dada yangu khaaa!! 🤣🤣🤣🤣

Ndio ujue maadui ni wengi na unafiki ni wa kutosha

Mnachokifanya hapa kinaonekana na watu wengi kuliko mnavyodhani,watu wanaitana kimya kimya na wanachekelea kinachoendelea....kiufupi mmekuwa kituko
Lakini labda inawezekana msione tabu kwasababu hatuwafahamu

Mnisamehe tu kwa kuandika niliyoandika leo,naishia hapa.
 
Ndio ujue maadui ni wengi na unafiki ni wa kutosha

Mnachokifanya hapa kinaonekana na watu wengi kuliko mnavyodhani,watu wanaitana kimya kimya na wanachekelea kinachoendelea....kiufupi mmekuwa kituko
Lakini labda inawezekana msione tabu kwasababu hatuwafahamu

Mnisamehe tu kwa kuandika niliyoandika leo,naishia hapa.
Hilo nilikuwa nalijua vizuri km watu wako wanafatilia na wanajadili, sababu unafki wa jf naujua vzr kuliko unavyofikiria.!!

Mimi hapa hakuna chochote nilichokisema kibaya na sikuwa na ulazima wa kukisema. Ila ningeamua kweli hapa utokee ugomvi nahisi hata hao waliokufata pm wangeumbuka inawezekana wakawa miongoni mwao.

Halafu walichokuwa wanakitaka sikuwapa, sababu najua lengo lao na mimi ni master kwenye michezo hii. Hii selfika nimeiweka hapa kiganjani. Wanaonijua wananijua.!!
Kwanza nikifika tu lazima kudamshiiiiii 🤣🤣🤣
 
We ni ms3ng3, huyo manzi mwenyewe i was not serious, nikiwa serious namfuata PM, mi nilikua nachangamsha uzi tu, fvck u Bro...
Mm huwa situkani but nakupelekea Moto mdogo mdogo, nimeona cocastic amekuelezea vizuri mlikua pamoja zamani
So najua tayari unapoangukia
 
Back
Top Bottom