cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
Ndo hapo sasa, shinda vita nyingi, uwe umefuzu viwango.na bila kashikashi unakuwa hujafuzu




😁😁😁 Kumekucha Africa!!!Ss hivi mmelala ngoja nipite naked sasa Mpaji Mungu wahi kabla sijafuta 😂😂😂
hata hilo sijali pia,,😂😂😂 uliskia wap zombi akawa na feelingsNashangaa wanaojianika humu ulimwengu wa fake ids!!! Humu usijulikane na yeyote mahi, kitumbili kimoja kikikujua tyuu kitaanza hekaheka km mwali aliyelipiwa mahari sasa bwana kachelewa kumfata hizo fujo zake 😂😂😂😂
Wifi uko poa?? 😘😘😘hata hilo sijali pia,,😂😂😂 uliskia wap zombi akawa na feelings
Umeniona mwenyewe og muuza vijora na kati ya kinondoni na migomigo 😂😂😂😂😁😁😁 Kumekucha Africa!!!
Wakupe udugu wangu 😂😂😂Ndo hapo sasa, shinda vita nyingi, uwe umefuzu viwango.
Kwani JF wanipe u platinum member, sifa na vigezo nimekidhiii.
![]()
Afya muhimu uduguu, vichaka ving’olewe 🤣🤣🤣Jamani![]()
😂😂😂😂 mida mida uduguu mrudi, ss hivi ngoja tutembeze vijora mtaani kwanza.!!Hii imeendaaa![]()
Halafu nataka kubadili profile niweke picha ya msanii wangu pendwa wa hip hop na hamna yeyote wa kunizuia 🤣🤣🤣🤣
😂😁Halafu nataka kubadili profile niweke picha ya msanii wangu pendwa wa hip hop na hamna yeyote wa kunizuia 🤣🤣🤣🤣
kumbe hua unaumwa,,aya ayaaa leo weekend sassWifi uko poa?? 😘😘😘
Nimekumiss wifi yangu, leo niko gado nimepona sasa nitoke kushangaa mataa
Wee hukushangaa juzi na jana nilikuwa mwingi Jf?? Nilishikwa na tumbo lile wanaita sijui chango weeeh!! Pale nilikuwa nachat ila maumivu sasa!! Wohiii sitaki kukumbuka!!🙌🙌🙌kumbe hua unaumwa,,aya ayaaa leo weekend sass
Polee sana Hilo tumbo balaa Kuna siku lilimkamata mke wangu hadi nikalia usiku kucha nilimpa hadi Panadol lakini haliku powa 😭Wee hukushangaa juzi na jana nilikuwa mwingi Jf?? Nilishikwa na tumbo lile wanaita sijui chango weeeh!! Pale nilikuwa nachat ila maumivu sasa!! Wohiii sitaki kukumbuka!!🙌🙌🙌
Nilikuwa namuona Israel ananikonyeza 😂😂😂😂
😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾io kitu nimeikwepa kwasasa,,linauma kama uchungu aseeeee,, enewei pole sana wiifiiWee hukushangaa juzi na jana nilikuwa mwingi Jf?? Nilishikwa na tumbo lile wanaita sijui chango weeeh!! Pale nilikuwa nachat ila maumivu sasa!! Wohiii sitaki kukumbuka!!🙌🙌🙌
Nilikuwa namuona Israel ananikonyeza 😂😂😂😂