Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

aje na id yake maarufu bana
anawezaaa? Haogopiiiiii?
Hayaa ya ID og yana wenyewee, na wenyewe ndo km sie.

Hana ID maarufu wala asikuchotee uduguuu, hapa ndo anatafuta umaarufu kupitia mie. Wee hujamjua tyuuh.

Si unajua coca ndo mtoa kiki kwa watu JF. woiiiiiih
 
uduguuu, ba tamu atanipora cm ujue.
Nahisi kuna kitu anafanya sebuleni, akitoka huko ni kuninyang'anya cm.

Aaaah weeee!!!
🤣🤣🤣🤣 kwani we hukuona??
Halafu kile kisado kingine cheupe ila kina vidot vingi km masela wamezimia fegi mle kwenye kisado.!! Hebu angalia vzr afu niambie uduguu
 
nawee mwanaume? Ktk foleni ya kiumeni nawee umepanga mstari?

Jamaniii mie sitakiiiii, nini hikii?
Kama umepoteza marinda kwa ugumu wa maisha mi hainihusu, pambana na hali yako...

Mi mtoto wa kiume siwezi tongozewa manzi na bwabwa..
 
kwani we hukuona??
Halafu kile kisado kingine cheupe ila kina vidot vingi km masela wamezimia fegi mle kwenye kisado.!! Hebu angalia vzr afu niambie uduguu
uduguu nakufa mimiiii, mbavu zinavunjikaaa.

Jamaniiiii yoyooooooo weeeee!!!
 
anawezaaa? Haogopiiiiii?
Hayaa ya ID og yana wenyewee, na wenyewe ndo km sie.

Hana ID maarufu wala asikuchotee uduguuu, hapa ndo anatafuta umaarufu kupitia mie. Wee hujamjua tyuuh.

Si unajua coca ndo mtoa kiki kwa watu JF. woiiiiiih
Bro unazingua, we ni brother lakini sijui nini kimekukuta... Dah!!
 
anawezaaa? Haogopiiiiii?
Hayaa ya ID og yana wenyewee, na wenyewe ndo km sie.

Hana ID maarufu wala asikuchotee uduguuu, hapa ndo anatafuta umaarufu kupitia mie. Wee hujamjua tyuuh.

Si unajua coca ndo mtoa kiki kwa watu JF. woiiiiiih
Kumiliki id yako na kuipitisha kwenye misimu yote inataka moyo ohhh 😂😂😂
 
uduguu nakufa mimiiii, mbavu zinavunjikaaa.

Jamaniiiii yoyooooooo weeeee!!!
😂😂😂😂 hatareee visado vya vitunguu vya Iringa hawavisafishi vichafu sana.!! Wanataka walaji tupate yutiai sugu
 
Mtoto mzuri achana na huyo jamaa, life limempiga ameamua kufuata hio njia...

Kwanza hana lolote la kukushauri zaidi atakufundisha tabia mbaya...
Ila 100 others una hekaheka nawe.!!
Kuna wanaume humu jf mna hekaheka sana.!!! 😂😂😂😂😂
 
Kama umepoteza marinda kwa ugumu wa maisha mi hainihusu, pambana na hali yako...

Mi mtoto wa kiume siwezi tongozewa manzi na bwabwa..
marinda yalichipua na yakakuaa, mie mtunzaji nilitafuta mtu ndo akayang'oa. Yaani rinda linatolewa huku natoa ushirikiano, sauti ndege tausi, kiuno body kinandaa, style mbwa anabwekea mgeni asiye mfahamu.

Ugumu wa maisha hauko, km wee una maisha magumu poleeee.

Sitongozei manzi wajomba mareshi mie,
 
marinda yalichipua na yakakuaa, mie mtunzaji nilitafuta mtu ndo akayang'oa. Yaani rinda linatolewa huku natoa ushirikiano, sauti ndege tausi, kiuno body kinandaa, style mbwa anabwekea mgeni asiye mfahamu.

Ugumu wa maisha hauko, km wee una maisha magumu poleeee.

Sitongozei manzi wajomba mareshi mie,
😂😂😂😂 Kivumbi leo
 
Back
Top Bottom