cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
Sasa kwanini hukusavee, ili uwage unatoa uthibitisho?Hapana huyo Bro niliona picha yake, amekomaa miguu sana na ana vigimbi...
Halafu mwanaume hata akae pozi lipi unamjua tu..
Ila watu wana roho ngumu sana, bro alivyo komaa utasema anacheza karate..
Wenzio waliweka na kipili pili kuthibitisha yanayojiri PM.




, wee unakwamaa wapiiiii?
