Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapana huyo Bro niliona picha yake, amekomaa miguu sana na ana vigimbi...

Halafu mwanaume hata akae pozi lipi unamjua tu..

Ila watu wana roho ngumu sana, bro alivyo komaa utasema anacheza karate..
Sasa kwanini hukusavee, ili uwage unatoa uthibitisho?
Wenzio waliweka na kipili pili kuthibitisha yanayojiri PM.

, wee unakwamaa wapiiiii?
 
Zipo nyingi, ila hii si ya matukio, ukiona hadi naifanyia haya matukio ujue nimekuelewa mtoto mzuri..
Na unazo nyingi kweli, ndo raha ya JF mtu ana id fake na parody lingine la kupungia upepo 😂😂😂😂
Halafu ndo tuwe serious humu!! Thubutuuu
 
Na unazo nyingi kweli, ndo raha ya JF mtu ana id fake na parody lingine la kupungia upepo
Halafu ndo tuwe serious humu!! Thubutuuu
wapoo walio serious, na picha za sado zenye nyasi fupi fupi wanatuma.
 
yaishe kweli, au unajipanga uje na lipiii?
Uzuri mie utakavyokuja nakupokea hivyo hivyooo.

hayaa chati na mtoto mzuri, uwe shem, ila kumbuka had mie nimshawishi akukubalie, viginevyoo utagonganisha sana meno upate kithembe, na mchuchu usimpatee.

Wee huogopiiiii?
Niogope nini...
Mwanaume kujiamini...
 
wapoo walio serious, na picha za sado zenye nyasi fupi fupi wanatuma.
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
Hatareeee ila sado kubwa ile na zile nyasi sijui za vitunguu maji?? Halafu kisado pembeni kina matope
 

Hatareeee ila sado kubwa ile na zile nyasi sijui za vitunguu maji?? Halafu kisado pembeni kina matope
uduguuu, ba tamu atanipora cm ujue.
Nahisi kuna kitu anafanya sebuleni, akitoka huko ni kuninyang'anya cm.

Aaaah weeee!!!
 
Back
Top Bottom