Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wifi umepinda ujue πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapo kwenye kuchangamka ndo balaa
aah shoga angu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ningekua nakufaham ningekudadavulia walau kiduchu 🀌🏾nimepoa saivi acha tu,,huon mda mwingi npo online aseee,,nashinda tu nyumbani ka mgonjwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ngoja kiwakeee
 
aah shoga angu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ningekua nakufaham ningekudadavulia walau kiduchu 🀌🏾nimepoa saivi acha tu,,huon mda mwingi npo online aseee,,nashinda tu nyumbani ka mgonjwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ngoja kiwakeee
Ila wifi we weka kwani kuna anayekujua hapa!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Em lete udambu dambu huo, sio shida zetu sie.
Maisha ni yako hakuna mtu wa kukupangia, mwenye uchungu akazae πŸ‘ŒπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈ
 
Ila wifi we weka kwani kuna anayekujua hapa!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Em lete udambu dambu huo, sio shida zetu sie.
Maisha ni yako hakuna mtu wa kukupangia, mwenye uchungu akazae πŸ‘ŒπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈ
unaujua uchungu wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚acha umaandazi wako huo,,, siwezi weka aseeee we subiri nichangamkeπŸ€Όβ€β™€οΈπŸ˜‚πŸ˜‚utaniulizia adi chooni
 
Mnaogopa kwa sababu Kuna namna mshajieleza mlivyo kumbe sivyo😁
Mimi sijawahi kujieleza kokote b’se sitafuti taji la umiss humu wala mume, kwanza sio dating site hii useme unahitajika kujinadi. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mimi nasemaga ni flat screen na naenjoy kuwa hivyo, sasa suala la picha hilo sio shida zangu.!! Picha nishatuma ambaye anateseka nayo atume yake tuone.!! 🀣🀣🀣
 
Mimi sijawahi kujieleza kokote b’se sitafuti taji la umiss humu wala mume, kwanza sio dating site hii useme unahitajika kujinadi. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mimi nasemaga ni flat screen na naenjoy kuwa hivyo, sasa suala la picha hilo sio shida zangu.!! Picha nishatuma ambaye anateseka nayo atume yake tuone.!! 🀣🀣🀣
Sasa ndo uandike gazeti lote dadaπŸ™„
 
Mimi sijawahi kujieleza kokote b’se sitafuti taji la umiss humu wala mume, kwanza sio dating site hii useme unahitajika kujinadi. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mimi nasemaga ni flat screen na naenjoy kuwa hivyo, sasa suala la picha hilo sio shida zangu.!! Picha nishatuma ambaye anateseka nayo atume yake tuone.!! 🀣🀣🀣
kwani kua flat ni ugonjwa,,afu tuna jina letu zuri iviπŸ˜‹πŸ˜‹english figure uuuuweeeeh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sjawah miliki msambwanda toka nizaliwe
 
kwani kua flat ni ugonjwa,,afu tuna jina letu zuri iviπŸ˜‹πŸ˜‹english figure uuuuweeeeh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sjawah miliki msambwanda toka nizaliwe
Si ndo hapo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Misambwanda sie Akhu!! Hivi hivi km dada wa taifa ndo fresh sasa!!
 
Back
Top Bottom