Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,276
- 87,079
Mimi kuna dawa bibi yangu alinipa ya kienyeji ni nzuri ila kilichonishinda anasema ukifanya mchezo mbaya jiandae kulea 🤣🤣🤣🤣Polee sana Hilo tumbo balaa Kuna siku lilimkamata mke wangu hadi nikalia usiku kucha nilimpa hadi Panadol lakini haliku powa 😭

