Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wifi umepinda ujue 😂😂😂😂
Hapo kwenye kuchangamka ndo balaa
aah shoga angu 😂😂😂 ningekua nakufaham ningekudadavulia walau kiduchu 🤌🏾nimepoa saivi acha tu,,huon mda mwingi npo online aseee,,nashinda tu nyumbani ka mgonjwa 😂😂😂ngoja kiwakeee
 
aah shoga angu 😂😂😂 ningekua nakufaham ningekudadavulia walau kiduchu 🤌🏾nimepoa saivi acha tu,,huon mda mwingi npo online aseee,,nashinda tu nyumbani ka mgonjwa 😂😂😂ngoja kiwakeee
Ila wifi we weka kwani kuna anayekujua hapa!! 😂😂😂
Em lete udambu dambu huo, sio shida zetu sie.
Maisha ni yako hakuna mtu wa kukupangia, mwenye uchungu akazae 👌🤸‍♀️🤸‍♀️
 
Ila wifi we weka kwani kuna anayekujua hapa!! 😂😂😂
Em lete udambu dambu huo, sio shida zetu sie.
Maisha ni yako hakuna mtu wa kukupangia, mwenye uchungu akazae 👌🤸‍♀️🤸‍♀️
unaujua uchungu wewe 😂😂😂acha umaandazi wako huo,,, siwezi weka aseeee we subiri nichangamke🤼‍♀️😂😂utaniulizia adi chooni
 
Mnaogopa kwa sababu Kuna namna mshajieleza mlivyo kumbe sivyo😁
Mimi sijawahi kujieleza kokote b’se sitafuti taji la umiss humu wala mume, kwanza sio dating site hii useme unahitajika kujinadi. 😂😂😂

Mimi nasemaga ni flat screen na naenjoy kuwa hivyo, sasa suala la picha hilo sio shida zangu.!! Picha nishatuma ambaye anateseka nayo atume yake tuone.!! 🤣🤣🤣
 
Mimi sijawahi kujieleza kokote b’se sitafuti taji la umiss humu wala mume, kwanza sio dating site hii useme unahitajika kujinadi. 😂😂😂

Mimi nasemaga ni flat screen na naenjoy kuwa hivyo, sasa suala la picha hilo sio shida zangu.!! Picha nishatuma ambaye anateseka nayo atume yake tuone.!! 🤣🤣🤣
Sasa ndo uandike gazeti lote dada🙄
 
Mimi sijawahi kujieleza kokote b’se sitafuti taji la umiss humu wala mume, kwanza sio dating site hii useme unahitajika kujinadi. 😂😂😂

Mimi nasemaga ni flat screen na naenjoy kuwa hivyo, sasa suala la picha hilo sio shida zangu.!! Picha nishatuma ambaye anateseka nayo atume yake tuone.!! 🤣🤣🤣
kwani kua flat ni ugonjwa,,afu tuna jina letu zuri ivi😋😋english figure uuuuweeeeh 😂😂😂 sjawah miliki msambwanda toka nizaliwe
 
Back
Top Bottom