Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Daah ningekuuliza kwanini umesema hivyo ila najua hautanijibu,, ngoja tu niseme sawa..
Una matatizo sana.
Una matatizo sana.



siwezi kujionyesha hapa you know
Naongea lugha za kikabila.
Tuone itaje unayoijua



mwee
Tena Sana tu
Ana matatizo Sana huyu![]()
Mtoto wa kizigua 😋












Atoto amesema una matatizo![]()
Natembelea fursa mkuuHahahhaha acha wivu mkuu
Kwa Mbeya Mjini Ghana/Majengo ilikuwa ni ushuani ya wakati wa Nyerere...Duh!
Hiyo Ghana naikumbuka sana. Nikiwa mdogo tuliendaga kumsalimia ma mkubwa. Alikuwa anaishi maeneo hayo ya Ghana.
Halafu hata Mwanza kuna Ghana pia.
Chanzo cha hilo jina sijui ni nini tu..??!!
Kabisa mimi standard seven nimemaliza 1990Kwahiyo nawe ni mzee![]()
Safi..na kale kamchele weeNitakupeleka tukuyu.
Tukuyu Kuna ndizi kuliko kyela.
Wewe nako kazururajiiiiNisehemu gani siifahamu mimi, anzia Nsalagha hadi Mbalizi kule...Ghana hadi Forest Mpya, Soweto, Ilomba, Mama John, Sae,Block T,Makunguru, Nzovwe, Mabatini, Jacaranda, Majengo kote kule Rejco, Mbata, Sabasaba....
Heheh niendelee



Una neno lolote
Ahsante doctor, uje unitibu nyumbaniMie naona vyote vinafaa tu ila unga wa mizizi yake ndiyo unatibu magonjwa mengi zaidi kuliko unga wa majani yake
Sema tu umezoea vigoma,michiriku, singeli, midundiko...
Nimeona mama, huyo nimeshamzoea na kwa vile ni yeye ameniambia hivyo sishangai siku akiongea lolote zuri kuhusu mimi nishitue.
Nimeshangaa hata wewe kumuunga mkono




Mtoto wa kizigua![]()