Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,201
Maajabu yanaendelea.😂😂😂kwenye hiyo list abaki karma tu😂😂.
Mimi Ni mzee kabisa
Maajabu yanaendelea.😂😂😂kwenye hiyo list abaki karma tu😂😂.
Mimi Ni mzee kabisa
Haya ndio maneno...Haha
Sawa usijali...ASAP mkweo atakuona![]()

She looks very innocentPicha yako na hizi fujo zako humu mtandaoni ni tofauti kabisaaaa teh teh teh teh teh






najua shoga nilitaka nilirudishe leo ila nimekosa nafasi nitalirudisha kesho na wamesema mwisho ni kesho kuanzia hapo ndiyo unalirudisha na faini
Nakukumbusha tu kwamba siku 7 zikipita unalirudisha na faini
Huyu wa kishua hawezi kupajua mwanjelwa


hapajui anajibalaguza tu hapaMsalime yule anayechezea simu kule karibu na ndoo za maji
Huyu wa kishua hawezi kupajua mwanjelwa

ni nini hiki unaongea??
😀😀😀😀 kuna clip moja niliona yule alienda nalo kijijini...naona kajiandaa na faini yaonajua shoga nilitaka nilirudishe leo ila nimekosa nafasi nitalirudisha kesho na wamesema mwisho ni kesho kuanzia hapo ndiyo unalirudisha na faini
hapajui anajibalaguza tu hapa
Mtu muda wote Yuko Forest ndani ya getiOhoooo


Umependeza
Nimezitafuta nimezikosa,hapa zimenikosa nitumie pm basi nami nikupe hongera zako 🤗Mbona zipo huko juu