Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,824
- 183,016
Una matatizo sana.Oohh labda useme hapo,, mie mbeya kinachonikera panawahi sana kupoa wakati mie napenda sehemu kuwe na makelele muda wote mfano kwa dar sehemu kama mbagala hivi hata ukitaka kutoka usiku wa manane unatoka..