Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahaaa. Aunt S nilimpa salamu. Aunt J kasema unamchunia. Wengine wote ntafikisha salama

Mwambie auntie J nimekuja hapa kwa ajili yake..

D4144555-7076-47BB-A573-E0B77E7E5BED.jpeg
 
Sema tu umezoea vigoma,michiriku, singeli, midundiko...
Oohh labda useme hapo,, mie mbeya kinachonikera panawahi sana kupoa wakati mie napenda sehemu kuwe na makelele muda wote mfano kwa dar sehemu kama mbagala hivi hata ukitaka kutoka usiku wa manane unatoka..
 
Nisehemu gani siifahamu mimi, anzia Nsalagha hadi Mbalizi kule...Ghana hadi Forest Mpya, Soweto, Ilomba, Mama John, Sae,Block T,Makunguru, Nzovwe, Mabatini, Jacaranda, Majengo kote kule Rejco, Mbata, Sabasaba....

Heheh niendelee
Uuunh nimekusahu Nonde na Simike...mamamaaaa tena kule ndio kubayaaaa
 
Nisehemu gani siifahamu mimi, anzia Nsalagha hadi Mbalizi kule...Ghana hadi Forest Mpya, Soweto, Ilomba, Mama John, Sae,Block T,Makunguru, Nzovwe, Mabatini, Jacaranda, Majengo kote kule Rejco, Mbata, Sabasaba....

Heheh niendelee
Duh!

Hiyo Ghana naikumbuka sana. Nikiwa mdogo tuliendaga kumsalimia ma mkubwa. Alikuwa anaishi maeneo hayo ya Ghana.

Halafu hata Mwanza kuna Ghana pia.

Chanzo cha hilo jina sijui ni nini tu..??!!
 
Back
Top Bottom