Naona wana chat tu
She's cute...



ona sasa unavyojikanyaga mwenyewe,, mama mimi labda unidanganye kuhusu dodoma huko ila siyo mbeya eti..
Wewe iwambi unaijua vizuri?
Umeshawahi pita Hadi kule Harrison uwata?
Kwanza Mimi mtu wa nzovwe itende huko![]()
Hiyo ipo kwa ninyi wa kishua...
Sisi tulikuwa tunashikishwa sikio...ukiweza basi unazama std 1 the same day hata km hauna uniforms...
Ila sasa ukiwa ndio kimo cha wale wa kupambana chini kwa chini, halafu bichwa kubwa kubwa hivi, umri unaweza ukawa umeenda lakini sasa vimikono ndio haviwezi zungukia sikio ya the other side





Doctor unatushaurije juu ya matumizi ya mlonge kat ya majani/mzizi
Teh teh teh teeeeh!Kweli Tena![]()
ona sasa unavyojikanyaga mwenyewe,, mama mimi labda unidanganye kuhusu dodoma huko ila siyo mbeya eti..
Ndiyo
Nipo huku itende kalobe ndani huku
Ngabu weka basi selfie yako tukuone japo kidogo
Nbc kule mjini(uhindini)
Kule wanakaa mabillionea tu
Upo huko na kwa graduu yangu hukuja unataka nikueleweje mimi eti??









Sai, isyesyeHahahaha mabilionea wako isyesye bhana
Mmmh...hivi Mbeya kuna hata bilionea mmoja?
Zamani alikuwepo Dhandu (sijui kama ndio spelling iko hivi)
Hivi uko dodoma eeh?Teh teh teh teeeeh!