Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hakuna kwa sasa...

Kamji kalivyo kachafu kale, wangekuwepo mji ungekuwa unapendeza kidogo...

Siku moja nitakuja Mbeya tena nikapnde ile lift [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Tutake radhi Wana mbeya[emoji3]
Ati mbeya pachafu?
Na dar watasemaje??

Karibu Sana jiji la kijani
 
Boojo boojo...

20191202_165256.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi kumbe kijiti cha dodoma nacho kikali enh??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cha huku Ni zaidi ya Cha arusha
 
[emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296]weeeee usiniambie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cha huku Ni zaidi ya Cha arusha
 
Oohh labda useme hapo,, mie mbeya kinachonikera panawahi sana kupoa wakati mie napenda sehemu kuwe na makelele muda wote mfano kwa dar sehemu kama mbagala hivi hata ukitaka kutoka usiku wa manane unatoka..
Mbeya saa 4 hukuti daladala.
Ndo vizuri ,tunalala pasi na makelele

Mbeya kunawafaa watu Kama mimi
 
Back
Top Bottom