Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante dear.Mi hata nikikondaga bado inajikata sema nikinenepaga Ndio inakua tamu zaidi 🤠!


Cheni mara moja moja navaaga
Mnapendeza na ujasiri mnao nakumbuka nilivaa sababu Ilikuwa zawadi ilinitesa sana nahangaika kushtuka shtuka nikajua mdudu ananitembea shingoni 😂😂😂
Mwishowangu hereni
Mkopoa lakin
 
Nuzulati 💓💓
FB_IMG_17088627345909030.jpg
 
Hapana sikwenda na sikurudi siku siku ya pili .
Hiyo thirty ni alinipa tu mkaka wa watu .
Kama ya usafiri ..

Just to clear the issue
Hakuna la zaidi .
Oooh hapo sawaaa, sasa huyo Rab ulimpa access ya kujua kila kitu kuhusu wee JF kwann??
 
Sahihi sana
Utaita maji mma kama Mimi

Namaliza kwa yaliyopita hapo chini

I apologize kwenye hayo maneno ikiwa nilikusema pia ..

Maana nilisoma huku siku nikaona nilikuwa naonea watu wivu kwenye vocha wanazopewa . Jamani samahani sana kwa hao watu pia .

Ila Jf ukiomba msamaha hivi unaonekana weak au unajitilisha huruma jamani wakati unafanya tu vile moyo wataka .
wee Tin hebu tujuze sie ya huko PM
ambayo Rab kayaleta hapa, usiogopee tuambiee.
Napenda ubuyuu mie balaaa
 
Lamomy

Uduguuu ukujee unitangazie mpira hapa, niko kwenye runinga tayari,

Nasubiri hapa mtanange uendelee.
 
Eeeeee aloooooo 👌
Qmanina zenu bado hamjasema 😂😂😂😂
Sema hebu tulia usinifanye niyamwage kweli wakati sikuwa na mpango huo..!!!
Kumbe kimekuuma kupotezewa??
Ndio ujifunze kuishi na watu, nyang’au wee!!
Mimi bana siogopi kusemwa sababu hakuna anayenijua humu, labda huyo Kantry
Sasa mtu kujifanya uduguu wangu alafu bin vuuup unabadili id unakuja kunichamba hiyo ndio sipendi..!!!
Ww km umeamua kujivika mabomu njoo na id yako tuliozoeana unichambe unavyotaka….
Huo undumilakuwili ni wako mahi uduguu kunjifanya shosti baadae unakuja na id’s za majina ya kiume kunisema huo ndio tunauita uoga….. 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
Sema nini hata sijafumbua mdomo wangu siri zako zote zipo salama ila ukijifanya chizi nayamwaga 😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom