Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Upoje 🤣🤣🤣
Naomba sprite, glass, ice cubes na lemon slace, nipoze engine.
Chelsea wanatukatili sana
Mabingwa wa dunia ndo tunaanza sherehe sasa 🔥🔥🔥
YNWA🔥

Depal , Poker
Kombe liwashinde,na chupa mshindwe kunyanyua?

Ya nini Mteseke roho?
Jiunge nami mpooze koo
 
Sahihi sana
Utaita maji mma kama Mimi 😂😂

Namaliza kwa yaliyopita hapo chini

I apologize kwenye hayo maneno ikiwa nilikusema pia ..

Maana nilisoma huku siku nikaona nilikuwa naonea watu wivu kwenye vocha wanazopewa . Jamani samahani sana kwa hao watu pia .

Ila Jf ukiomba msamaha hivi unaonekana weak au unajitilisha huruma jamani wakati unafanya tu vile moyo wataka .
Achana nao
 
Aki hii wiki imeisha kimajonzi sana mosi yanga kafuzu robo, pili liverkuku kachukua ubingwa, tatu simba tumedraw na mwisho mwanitesa united kafungwa. Nimpe pole Depal kwa kipigo kingine. Na nikupe hongera wewe Saint Anne hope jana ulimsusia yote Wigelekelo 😂
🤣🤣 mpira ni starehe, ila kuna muda kuna ukatili mkubwa sana kwenye mpira.
 
Mkuu hiyo pic ilinistua maana huyo ni jamaa yangu aisee, umefanya niangalie na pic zingine ulizoweka hapa.
Ile umezingua, umefanya ukanjanja kwenye hili. Sio poa
😁😂😂😂😁🤣🤣🤣Mkuu sio kwa ubaya lakini sijatumia kwenye utapeli Mkuu nilikuwa natumia kwa kuzipenda tu kwanza nilikuwa napost kwa sababu nazipenda sio kwa ukanjanja kaka 😂😁
 
Uwe unavaaa jamani shingo ilivokatika hivo utanouga sana!

Wasabato huwa hamnaga mambo mengi . Tuone foto uliyotupia hereni ulivopendeza
Eeh nasali kanisa jingine huko usabatoni nikiwa nyumbani .

Niambie kama upo nikuwekee hiyo picha .
 
Upoje 🤣🤣🤣
Naomba sprite, glass, ice cubes na lemon slace, nipoze engine.
Chelsea wanatukatili sana
Nakupa fanta orange utamu kunoga

Hiyo Chelsii Achana nayo tu, binti mbichi timu itakuzeesha Ile🤣
 
Back
Top Bottom