Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,489
- 203,179
Achana naoSahihi sana
Utaita maji mma kama Mimi 😂😂
Namaliza kwa yaliyopita hapo chini
I apologize kwenye hayo maneno ikiwa nilikusema pia ..
Maana nilisoma huku siku nikaona nilikuwa naonea watu wivu kwenye vocha wanazopewa . Jamani samahani sana kwa hao watu pia .
Ila Jf ukiomba msamaha hivi unaonekana weak au unajitilisha huruma jamani wakati unafanya tu vile moyo wataka .
Mim cheni, hereni nishashindwa aisehAsante dear.Mi hata nikikondaga bado inajikata sema nikinenepaga Ndio inakua tamu zaidi 🤠!
Cheni mara moja moja navaaga
Uwe unavaaa jamani shingo ilivokatika hivo utanouga sana!Yeah ukinenepa ndo inazidi kuwa nene .
Mimi sijawahi kabisa , masikio yenyewe nimetoboa last year .
Wee hujatoboa masikio sis??? Mimi nilitobolewa nikiwa mdogo sana darasa lakwanza kama sijakosea! Cheni nahio shingo unanoga sanaMim cheni, hereni nishashindwa aiseh
🤣🤣 mpira ni starehe, ila kuna muda kuna ukatili mkubwa sana kwenye mpira.Aki hii wiki imeisha kimajonzi sana mosi yanga kafuzu robo, pili liverkuku kachukua ubingwa, tatu simba tumedraw na mwisho mwanitesa united kafungwa. Nimpe pole Depal kwa kipigo kingine. Na nikupe hongera wewe Saint Anne hope jana ulimsusia yote Wigelekelo 😂
😁😂😂😂😁🤣🤣🤣Mkuu sio kwa ubaya lakini sijatumia kwenye utapeli Mkuu nilikuwa natumia kwa kuzipenda tu kwanza nilikuwa napost kwa sababu nazipenda sio kwa ukanjanja kaka 😂😁Mkuu hiyo pic ilinistua maana huyo ni jamaa yangu aisee, umefanya niangalie na pic zingine ulizoweka hapa.
Ile umezingua, umefanya ukanjanja kwenye hili. Sio poa
😂😂🤣😂Mwambie mwanao namkubali sana mie ni shabiki yake sana kule Instagram 💚Daah mkuu hii sio poa, hizi ni pic zake jamaa za muda mrefu sana. Nilikua sijaona hii huwa siingiagi huku sana, Ila nimeshajua ulipozitoa. Sio poa kabisa
Anyway
Powa mkuu nimekusomaMkuu sio kwa ubaya lakini sijatumia kwenye utapeli Mkuu nilikuwa natumia kwa kuzipenda tu kwanza nilikuwa napost kwa sababu nazipenda sio kwa ukanjanja kaka
![]()
Powa mkuuMwambie mwanao namkubali sana mie ni shabiki yake sana kule Instagram
![]()
Eeh nasali kanisa jingine huko usabatoni nikiwa nyumbani .Uwe unavaaa jamani shingo ilivokatika hivo utanouga sana!
Wasabato huwa hamnaga mambo mengi . Tuone foto uliyotupia hereni ulivopendeza
Namkubali sana Toka yupo pale East Africa radioPowa mkuu
😂😂 mi sina kauli😂😂😂😂 Mshaanza kupanic vijana
Nasemaje hii mechi bado sana, tafuteni mbinu ya kupindua meza ila vibabu vimejipanga nawaambia oohh!!
Tena ww kipindi cha pili nitamwambia kocha akutoe amuingize mshamba_hachekwi 😂😂😂
Nakupa fanta orange utamu kunogaUpoje 🤣🤣🤣
Naomba sprite, glass, ice cubes na lemon slace, nipoze engine.
Chelsea wanatukatili sana
Nilikuwa offline dadaa,ni majukumu yaliyonifanya nisiweze kumiliki smartphone kwa kipindi cha mwaka mzima.
But nimerudi,tuko pamoja sana mkuu.
Cc: cocastic
Mida ya saa mbili usiku nikila na kushiba nitaweka selfie.Karibu tena Mkuu
Tusalimie na Selfie
Nitakuwa nishalewa hiyo midaMida ya saa mbili usiku nikila na kushiba nitaweka selfie.
Mashabiki wa liva na yanga mnatutesa sana mitandaoni wallah.Nitakuwa nishalewa hiyo mida
Nishaanza tangu asbh tupiga vyupa ushindi wa liver leo😂
Weka tu sasahivi Mkuu,mambo yasiwe mengi
Picha iko wapi Mkuu?Mashabiki wa liva na yanga mnatutesa sana mitandaoni wallah.
PouwaNilisahau afu ujue,
Next time ntaenda